Ni aibu sana kuona Wabunge waliokuwa wa Kwanza Kukimbia 'King'ora' jana Bungeni ni wa Kiume

Ni aibu sana kuona Wabunge waliokuwa wa Kwanza Kukimbia 'King'ora' jana Bungeni ni wa Kiume

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.

Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.

Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
 
Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.

Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.

Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
gentamycine kuna mdada anakutafuta ni wiki sasa humu Jf , anataka kukuona face to face.

Mbona umepiga kimya umeibukia huku.
 
Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.

Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.

Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
Unapotaja sijui siyo wa wapi unachemsha..!!
 
Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.

Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.

Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
kifo hakina jinsia wewe jamaa!!!,wewe unafikiri ukifa utapaje UTI{ITIAI}, UTI inapatikana kupitia shoo,,,,,,ukiacha hili,ina maana haujui wanawake wana roho ngumu kuliko wanaume????? nenda china ukaabidili jinsia alaf ubebeb mimba miezi 9 then baada kuingiziwa uume kila siku,siku ukipumzika ni kwamba unableed,,,,then uingie leba ndo utajua kwa wabunge wa kike walitoka kishkaji,,,,sisi wanaume hatuna roho ngumu ata kidogo
 
Walikuwa wanazikimbilia v8 zao

Ova
 
Mmetuaibisha mno Wanaume Wenzenu na kuna Mbunge wa Kiume Mmoja aliamua kabisa Kuvua Viatu vyake huku akivishika Mkononi na Kukimbia peku na akipiga Yowe kutoka nje.

Wabunge wa Kike wakiongozwa na Spika wa Bunge walikuwa Watulivu hata wakati Wanatoka Bungeni.

Nashukuru huyu Mbunge si wa Mara.
Kumetokea nin huko???
 
IMG_7387.jpg

IMG_7381.jpg

IMG_7386.jpg
 
Je mbunge msukuma yeye alikimbiaje naskia Hadi nyayo Hadi zilikuwa zinagusa makalio
 
Moto ungeua mngesema wanaume mashujaa walikimbia
 
Back
Top Bottom