zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,529
- 1,068
usifananishe gari na nyumba, hakuna baba mwenye gari, mjini kuna baba mwenye nyumba!!Umefikilia vyoooote cha maana umeona gar?acha ushamba bhana unanunua gar huna nyumba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usifananishe gari na nyumba, hakuna baba mwenye gari, mjini kuna baba mwenye nyumba!!Umefikilia vyoooote cha maana umeona gar?acha ushamba bhana unanunua gar huna nyumba?
kwani haiwezekani,sio lazima kujenga maisha kuchaguaUmefikilia vyoooote cha maana umeona gar?acha ushamba bhana unanunua gar huna nyumba?
Kwani unachowaza wewe kama kipaumbele chako ndicho anachowaza na mwingine? Nadhani tunatofautiana kulingana na "priorities" za kila mtu ambazo anataka azitimize maishani mwakeWana jf
Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
Duu nilidhani nipo kwenye group la Watsap nilitaka ku-left Kwa huu utotoWana jf
Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
we boya mambo ya lumumba yametoka wapiKwa hiyo wewe Msukule wa Lumumba unavyodandia magari ya ofisi hapo Lumumba ndio unajiona ushaukata tayari?
PrioritiesWana jf
Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
acha uongo wewe wanawake wameanza kumiliki magari juzi juzi zamani ukimuona mwanamke anaendesha gari unamshangaaHilo wazo la Gari kwanza ni kipaumbele cha Wanawake,Mwanaume wa ukwel kwanza huwaza kupata himaya yake(Nyumba) il ajiachie akijua yupo kwake,sasa Wewe unamiliki Gari umepanga na unaishi kwa Mzee fulani,utamuambia nini? mwenye Gari,ukiwa na Gari hata mkopo haupati Benk
Wana jf
Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
kumiliki gari ni ushamba?Nchi imejaa washamba.
hahaha nunua hata hiyo vits uheshimike mtaaniUnakuta dume la kilo 90+ liko ndani ya Passo au vits. Aisee ni afadhari kupambana na mwendokasi.
[emoji23]Ndo umetoka kununua gari nini?