Ni aibu sana kwa mwanaume kushindwa kumiliki gari

Ni aibu sana kwa mwanaume kushindwa kumiliki gari

Wana jf

Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
Kwani unachowaza wewe kama kipaumbele chako ndicho anachowaza na mwingine? Nadhani tunatofautiana kulingana na "priorities" za kila mtu ambazo anataka azitimize maishani mwake
 
Hilo wazo la Gari kwanza ni kipaumbele cha Wanawake,Mwanaume wa ukwel kwanza huwaza kupata himaya yake(Nyumba) il ajiachie akijua yupo kwake,sasa Wewe unamiliki Gari umepanga na unaishi kwa Mzee fulani,utamuambia nini? mwenye Gari,ukiwa na Gari hata mkopo haupati Benk
 
Kuna watu wanamagari mengi na ya bei mbaya lakini ni mabwabwa,vibamia, hawana uwezo wa kuzalisha lakini kuna wengine hawana hata pikpik lakini wanaume mashine,wanafamilia na wanazotunza vizuri!!!
Kati ya hayo mawili yupi anapaswa umshangae na kumcheka
 
Wana jf

Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
Duu nilidhani nipo kwenye group la Watsap nilitaka ku-left Kwa huu utoto
 
Wana jf

Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
Priorities
Priorities
Priorities
Over...[emoji113]
 
Hilo wazo la Gari kwanza ni kipaumbele cha Wanawake,Mwanaume wa ukwel kwanza huwaza kupata himaya yake(Nyumba) il ajiachie akijua yupo kwake,sasa Wewe unamiliki Gari umepanga na unaishi kwa Mzee fulani,utamuambia nini? mwenye Gari,ukiwa na Gari hata mkopo haupati Benk
acha uongo wewe wanawake wameanza kumiliki magari juzi juzi zamani ukimuona mwanamke anaendesha gari unamshangaa
 
Wana jf

Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
d623c62c376d5332a1593277dd52fd32.jpg
 
Back
Top Bottom