Dominic Myumbilwa
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 190
- 93
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unakuta dume la kilo 90+ liko ndani ya Passo au vits. Aisee ni afadhari kupambana na mwendokasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unakuta dume la kilo 90+ liko ndani ya Passo au vits. Aisee ni afadhari kupambana na mwendokasi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duu nilidhani nipo kwenye group la Watsap nilitaka ku-left Kwa huu utoto
Ni Mwanaume, sema tu ndio hivyo tena "tumeshakula hasara"Ni aibu sana mwanaume kuandika Uzi wa namna hii.
PATHETIC
Aelewe pia nchi zingine watu huacha magari yao hupanda treni na mwendokasi.Bwege weye, gari siyo issue...!! to maintain na mafoleni yasiokuwa na mpango pia parking areas ndo usumbufu mkubwa!!! wengi wana magari mazuri kuliko ulizotaja na bado wameyafungia...!!
Wana jf
Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
Sijawahi kusikia baba mwenye gari,ni baba mwenye nyumba tu.Wana jf
Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
Hapo utakuta kapanga chumba kimoja makondeko halafu anakimbilia kumiliki gari ambayo inamlazim kupaki kilometer moja kutoka gheto kwake! Hopeless kabisaMkuu kwahiyo ukiwa huna gar ndo unakuwa mshamba?
Wanaume wa dar hamuishiwi matatizo
Kabisa mkuu, na likitambi la haja afu unamuona anazungusha funguo kidoleni.Unakuta dume la kilo 90+ liko ndani ya Passo au vits. Aisee ni afadhari kupambana na mwendokasi.
hahahah we jamaa umenifurahisha kwa kweliKwa hiyo wewe Msukule wa Lumumba unavyodandia magari ya ofisi hapo Lumumba ndio unajiona ushaukata tayari?
we jamaa nomaKuna watu wanamagari mengi na ya bei mbaya lakini ni mabwabwa,vibamia, hawana uwezo wa kuzalisha lakini kuna wengine hawana hata pikpik lakini wanaume mashine,wanafamilia na wanazotunza vizuri!!!
Kati ya hayo mawili yupi anapaswa umshangae na kumcheka