Ni aibu sana mwanaume mwenye umri 35 na kuendelea kukosa uwekezaji wa kuanzia millioni 30

Ni aibu sana mwanaume mwenye umri 35 na kuendelea kukosa uwekezaji wa kuanzia millioni 30

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Huwa nashangaaga sana hivi muda wote huo wa miaka kumi ya utafutaji wako unakosa kuwa na asset zenye thamani ya pesa hizo
Kwamba shetani kakuchukia sana kana kwamba anaona akikupa hivyo vitu utamsaliti.

Au mnapata ndio starehe zimewazidi miaka 35 inakushindwa million 30 tu kweli halafu mnakazana ipo siku mungu atatusaidia hivi mpo serious kweli.

Kuna jamaa alisemaga muuwawe mnalitia hasara taifa.

Ni aibu tena aibu sana mwanaume kama wewe unakosaje kuwekeza bhana aah hata kiwanja kule Ituli ndani ndani nacho huna.

Hata tumbuzi twa kujivunia labda baada ya miaka mitano wanaweza fika 50 ukauza nao huna kweeeli kabisa yaani kabisa
ila smat ya m3 na kagheto kakumbususia wake za watu unalo tena limesheheni vitu ambavyo haviwezi kuku move on wakati ujao

Tuache kujipa matumaini ya hovyo hata Mungu wenu hawapendi watu wa namna hiyo.

Umri ndioo huoooooooo unaenda msiseme sijasema.

Pia mnatabia za kutokujifunza mambo mapya kila kitu unachoambiwa utasikia motivesheni spika, kila kitu kwenu hakiwezekani

(Ngoja tupate tangazo)
👇
Wakuu samahani kwa yote ni mimi MR PIPA ambaye nilipata hiyo hela nikaenda kuhonga naombeni mnisaidie japo 5000 hali tete michongo imebuma natumaini ombi litashughulikiwa.

(Twende tuendelee) hivi kwa nini umri huo umeshindwa kuwa hata na m30 sehemu mnafeli wapi? Kama ww mwenyewe umejisaliti kwa kuto kuwa na kiasi hicho nani atakuamin, biashara asubuhi jioni mahesabu.

Na namwomba shetani watu kama nyinyi muwe na gundu hadi kwenye mbususu yaani mnyimwe ili akili ziwakae.
 
Umesema miaka 10 ya utafutaji sio? Kuanzia 25 hapo unamaanisha!

Sawa, twende pole pole, mimi ni kijana nilikulia maisha ya kuunga unga, home msosi mmoja kwa siku, nimepita pita shule kwa msaada wa serikali, nimemaliza nikiwa na miaka 24. Sina cha kurithi wala sijaanzishiwa maisha.

Miaka 4 ya kutafuta kazi, sina kitu hapo! Miaka 2 iliyofuata nikiwa na ajira ya mshahara wa 1,000,000/= basic, nikaanza kupanga ghetto na kujiweka sawa!

Ili kuepuka kuwa centre point ya familia, najivisha majukumu, kuvuta wengine ili wajitegemee! Kwa miaka 4 napambana na maisha yangu na ya familia(shule, kula, matibabu na pango)

Miaka 10 ya utafutaji wa halali ndo hiyo hapo na umri ndo huo hapo! Sh 30m inapatikanaje?
- Au kwa mikopo ya riba iliyoshushwa? Poda? Michezo au Mission town? Kuwa chawa? Kulamba midomo?
 
Mzee kupata kidogo unaona ushatoboa??
Life begins at 40's

Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Life begins at 40 ni njia ya mtu aliyechezea muda wake kujifariji. Maisha yanaanza immediately ukishapata akili timamu, kama hiyo akili timamu unaipata at 40 kuna shida sehemu "The earlier the better"
 
Ngoja tukutolee povu, si ndio ulichotaka

images - 2022-05-25T234958.582.jpeg
 
Back
Top Bottom