mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
Huwa nashangaaga sana hivi muda wote huo wa miaka kumi ya utafutaji wako unakosa kuwa na asset zenye thamani ya pesa hizo
Kwamba shetani kakuchukia sana kana kwamba anaona akikupa hivyo vitu utamsaliti.
Au mnapata ndio starehe zimewazidi miaka 35 inakushindwa million 30 tu kweli halafu mnakazana ipo siku mungu atatusaidia hivi mpo serious kweli.
Kuna jamaa alisemaga muuwawe mnalitia hasara taifa.
Ni aibu tena aibu sana mwanaume kama wewe unakosaje kuwekeza bhana aah hata kiwanja kule Ituli ndani ndani nacho huna.
Hata tumbuzi twa kujivunia labda baada ya miaka mitano wanaweza fika 50 ukauza nao huna kweeeli kabisa yaani kabisa
ila smat ya m3 na kagheto kakumbususia wake za watu unalo tena limesheheni vitu ambavyo haviwezi kuku move on wakati ujao
Tuache kujipa matumaini ya hovyo hata Mungu wenu hawapendi watu wa namna hiyo.
Umri ndioo huoooooooo unaenda msiseme sijasema.
Pia mnatabia za kutokujifunza mambo mapya kila kitu unachoambiwa utasikia motivesheni spika, kila kitu kwenu hakiwezekani
(Ngoja tupate tangazo)
👇
Wakuu samahani kwa yote ni mimi MR PIPA ambaye nilipata hiyo hela nikaenda kuhonga naombeni mnisaidie japo 5000 hali tete michongo imebuma natumaini ombi litashughulikiwa.
(Twende tuendelee) hivi kwa nini umri huo umeshindwa kuwa hata na m30 sehemu mnafeli wapi? Kama ww mwenyewe umejisaliti kwa kuto kuwa na kiasi hicho nani atakuamin, biashara asubuhi jioni mahesabu.
Na namwomba shetani watu kama nyinyi muwe na gundu hadi kwenye mbususu yaani mnyimwe ili akili ziwakae.
Kwamba shetani kakuchukia sana kana kwamba anaona akikupa hivyo vitu utamsaliti.
Au mnapata ndio starehe zimewazidi miaka 35 inakushindwa million 30 tu kweli halafu mnakazana ipo siku mungu atatusaidia hivi mpo serious kweli.
Kuna jamaa alisemaga muuwawe mnalitia hasara taifa.
Ni aibu tena aibu sana mwanaume kama wewe unakosaje kuwekeza bhana aah hata kiwanja kule Ituli ndani ndani nacho huna.
Hata tumbuzi twa kujivunia labda baada ya miaka mitano wanaweza fika 50 ukauza nao huna kweeeli kabisa yaani kabisa
ila smat ya m3 na kagheto kakumbususia wake za watu unalo tena limesheheni vitu ambavyo haviwezi kuku move on wakati ujao
Tuache kujipa matumaini ya hovyo hata Mungu wenu hawapendi watu wa namna hiyo.
Umri ndioo huoooooooo unaenda msiseme sijasema.
Pia mnatabia za kutokujifunza mambo mapya kila kitu unachoambiwa utasikia motivesheni spika, kila kitu kwenu hakiwezekani
(Ngoja tupate tangazo)
👇
Wakuu samahani kwa yote ni mimi MR PIPA ambaye nilipata hiyo hela nikaenda kuhonga naombeni mnisaidie japo 5000 hali tete michongo imebuma natumaini ombi litashughulikiwa.
(Twende tuendelee) hivi kwa nini umri huo umeshindwa kuwa hata na m30 sehemu mnafeli wapi? Kama ww mwenyewe umejisaliti kwa kuto kuwa na kiasi hicho nani atakuamin, biashara asubuhi jioni mahesabu.
Na namwomba shetani watu kama nyinyi muwe na gundu hadi kwenye mbususu yaani mnyimwe ili akili ziwakae.