daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Nijiue kwa sababu sijawekeza?Maandiko kama haya yanaweza kuchukuliwa masikhara lakini ni hatari sana kwa kuwa yanawagusa watu wengi na hupelekea msongo wa mawazo na hata kujiua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijiue kwa sababu sijawekeza?Maandiko kama haya yanaweza kuchukuliwa masikhara lakini ni hatari sana kwa kuwa yanawagusa watu wengi na hupelekea msongo wa mawazo na hata kujiua.
Wewe umeongelea nafsi yako na namna unavyoyapokea na kuyachukulia mambo yanayokujia au kukutokea......watu wengi tumetofautiana kimawazo, utashi na fikra hata kwenye mambo yanayofanana.......andiko limewalenga watu hao ambayo hawana utashi na mtazamo kama wa kwako.....Nijiue kwa sababu sijawekeza?
We bwana tafadhali.Huwa nashangaaga sana hivi muda wote huo wa miaka kumi ya utafutaji wako unakosa kuwa na asset zenye thamani ya pesa hizo
Kwamba shetani kakuchukia sana kana kwamba anaona akikupa hivyo vitu utamsaliti.
Au mnapata ndio starehe zimewazidi miaka 35 inakushindwa million 30 tu kweli halafu mnakazana ipo siku mungu atatusaidia hivi mpo serious kweli.
Kuna jamaa alisemaga muuwawe mnalitia hasara taifa.
Ni aibu tena aibu sana mwanaume kama wewe unakosaje kuwekeza bhana aah hata kiwanja kule Ituli ndani ndani nacho huna.
Hata tumbuzi twa kujivunia labda baada ya miaka mitano wanaweza fika 50 ukauza nao huna kweeeli kabisa yaani kabisa
ila smat ya m3 na kagheto kakumbususia wake za watu unalo tena limesheheni vitu ambavyo haviwezi kuku move on wakati ujao
Tuache kujipa matumaini ya hovyo hata Mungu wenu hawapendi watu wa namna hiyo.
Umri ndioo huoooooooo unaenda msiseme sijasema.
Pia mnatabia za kutokujifunza mambo mapya kila kitu unachoambiwa utasikia motivesheni spika, kila kitu kwenu hakiwezekani
(Ngoja tupate tangazo)
👇
Wakuu samahani kwa yote ni mimi MR PIPA ambaye nilipata hiyo hela nikaenda kuhonga naombeni mnisaidie japo 5000 hali tete michongo imebuma natumaini ombi litashughulikiwa.
(Twende tuendelee) hivi kwa nini umri huo umeshindwa kuwa hata na m30 sehemu mnafeli wapi? Kama ww mwenyewe umejisaliti kwa kuto kuwa na kiasi hicho nani atakuamin, biashara asubuhi jioni mahesabu.
Na namwomba shetani watu kama nyinyi muwe na gundu hadi kwenye mbususu yaani mnyimwe ili akili ziwakae.
Fact, huyo mwambaa kaingiwa na pepoUmesema miaka 10 ya utafutaji sio? Kuanzia 25 hapo unamaanisha!
Sawa, twende pole pole, mimi ni kijana nilikulia maisha ya kuunga unga, home msosi mmoja kwa siku, nimepita pita shule kwa msaada wa serikali, nimemaliza nikiwa na miaka 24. Sina cha kurithi wala sijaanzishiwa maisha.
Miaka 4 ya kutafuta kazi, sina kitu hapo! Miaka 2 iliyofuata nikiwa na ajira ya mshahara wa 1,000,000/= basic, nikaanza kupanga ghetto na kujiweka sawa!
Ili kuepuka kuwa centre point ya familia, najivisha majukumu, kuvuta wengine ili wajitegemee! Kwa miaka 4 napambana na maisha yangu na ya familia(shule, kula, matibabu na pango)
Miaka 10 ya utafutaji wa halali ndo hiyo hapo na umri ndo huo hapo! Sh 30m inapatikanaje?
- Au kwa mikopo ya riba iliyoshushwa? Poda? Michezo au Mission town? Kuwa chawa? Kulamba midomo?
Ni uwekezaji mfano dhamana ya mkopoKwani mtu kuishi kwenye nyumba yake ya zaidi ya hiyo 30 sio uwekezaji?
[emoji2936][emoji2936]Ulivyo andika tu huu uzi wako ikabidi niende kwenye post zako za nyuma i mean profile lako ili nijue wewe ni mtu wa aina gani.
Uzi wa pili tu kukutana nao sikuona umuhimu wa kuendelea mbele maana majibu nikawa nimeyapata.
Mpaka sasa sijaona ubaya wa shetani
Nitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine.pia tofauti na KIRANGA na wenzake wasio amini uwepo wake mimi na amini yupoo ila utendaji wake wa kazi kidogo inanipa mshaka kama mashabiki wa vyama na mm Kwangu naona huyu shetani ndio mkombozi, kwa fact hizi Pale bustani ya edeni Mungu alimficha Adamu...www.jamiiforums.com
Ipo hivi, ukimtegemea Mungu wa mbinguni aliyeziumba mbingu na nchi, kufanikiwa huwezi kujipangia ni mpaka Mungu akufungulie mlango huo.
Mungu kujibu maombi ya uchumi huwa haangalii umri bali tunasema Mungu huwa hawahi wala hachelewi bali kila mtu na wakati wake alio kusudia yeye.
Kwenye huo uzi wako nimeona unammwagia sifa shetani kwamba ukitaka utajir ni chapu anakupa kupitia waganga.! Sehemu nyingin unasema amekupa siri ya kujua utamu wa mbususu.!
It is ok kwa staili hiyo nikupe hongera kwa kufanikiwa kwa umri wa miaka 35 kumilik mil 35 inawezekana hicho ni kiwango cha chini inayo zaidi.
Yote tuyafanyayo hapa duniani hutokana na maamuzi, hivyo acha walioamua kuto mkimbilia shetani wafanikiwe kwa muda wao huenda at 40's or 60's haijalishi.
Nimechok kuandik ngoja niishie hapa.!
Kweli kabisa mkuu.Maandiko kama haya yanaweza kuchukuliwa masikhara lakini ni hatari sana kwa kuwa yanawagusa watu wengi na hupelekea msongo wa mawazo na hata kujiua.
Wewe hujaelewa mantiki ya usemi huu.Life begins at 40 ni njia ya mtu aliyechezea muda wake kujifariji. Maisha yanaanza immediately ukishapata akili timamu, kama hiyo akili timamu unaipata at 40 kuna shida sehemu "The earlier the better"
Bado ana akili za kitoto sana.Mtoa mada inaonekana anahisi ametoboa kwenye miaka yake ya 20s so anawazoom wenye miaka 35 anawaona maboya ambao bado wana hustle.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app