Ni aibu sana mwanaume mwenye umri 35 na kuendelea kukosa uwekezaji wa kuanzia millioni 30

Ni aibu sana mwanaume mwenye umri 35 na kuendelea kukosa uwekezaji wa kuanzia millioni 30

Huwa nashangaaga sana hivi muda wote huo wa miaka kumi ya utafutaji wako unakosa kuwa na asset zenye thamani ya pesa hizo
Kwamba shetani kakuchukia sana kana kwamba anaona akikupa hivyo vitu utamsaliti

Au mnapata ndio starehe zimewazidi miaka 35 inakushindwa million 30 tu kwelii

alafu mnakazana ipo siku mungu atatusaidia hivi mpo serious kweli

Kuna jamaa alisemaga muuwawe mnalitia hasara taifa

Ni aibu tena aibu sana mwanaume kama wewe unakosaje kuwekeza bhana aah hata kiwanja kule Ituli ndani ndani nacho huna

Hata tumbuzi twa kujivunia labda baada ya miaka mitano wanaweza fika 50 ukauza nao huna kweeeli kabisa yaani kabisa
ila smat ya m3 na kagheto kakumbususia wake za watu unalo tena limesheheni vitu ambavyo haviwezi kuku move on wakati ujao

Tuache kujipa matumaini ya hovyo hata Mungu wenu hawapendi watu wa namna hiyo.

Umri ndioo huoooooooo unaenda msiseme sijasema.

Pia mnatabia za kutokujifunza mambo mapya kila kitu unachoambiwa utasikia motivesheni spika, kila kitu kwenu hakiwezekani

(Ngoja tupate tangazo)
.👇
Wakuu samahani kwa yote ni mimi MR PIPA ambaye nilipata hiyo hela nikaenda kuhonga naombeni mnisaidie japo 5000 hali tete michongo imebuma natumaini ombi litashughulikiwa

(Twende tuendelee) hivi kwa nini umri huo umeshindwa kuwa hata na m30 sehemu mnafeli wapi?? Kama ww mwenyewe umejisaliti kwa kuto kuwa na kiasi hicho nani atakuamin, biashara asubuhi jioni mahesabu

Na namwomba shetani watu kama nyinyi muwe na gundu hadi kwenye mbususu yaani mnyimwe ili akili ziwakae
Naona ni zamu yako sasa maana mataqouer yako yanalia mbwata mbwata mpaka m nimeshtuka usingzn😇😅🤣
 
Andiko kama hili linaweza kuwa kisababishi cha mtu kunywa sumu huko alipo,kwahiyo ww unaaamini kila aliefika umri utu uzima na hana maisha unaamin alikuwa sio mpambanaji?
 
Kumbe kua na mbuzi nako ni uwekezaji wa aina yake...🤣🤣🤣🤣
 
Huwa nashangaaga sana hivi muda wote huo wa miaka kumi ya utafutaji wako unakosa kuwa na asset zenye thamani ya pesa hizo
Kwamba shetani kakuchukia sana kana kwamba anaona akikupa hivyo vitu utamsaliti

Au mnapata ndio starehe zimewazidi miaka 35 inakushindwa million 30 tu kwelii

alafu mnakazana ipo siku mungu atatusaidia hivi mpo serious kweli

Kuna jamaa alisemaga muuwawe mnalitia hasara taifa

Ni aibu tena aibu sana mwanaume kama wewe unakosaje kuwekeza bhana aah hata kiwanja kule Ituli ndani ndani nacho huna

Hata tumbuzi twa kujivunia labda baada ya miaka mitano wanaweza fika 50 ukauza nao huna kweeeli kabisa yaani kabisa
ila smat ya m3 na kagheto kakumbususia wake za watu unalo tena limesheheni vitu ambavyo haviwezi kuku move on wakati ujao

Tuache kujipa matumaini ya hovyo hata Mungu wenu hawapendi watu wa namna hiyo.

Umri ndioo huoooooooo unaenda msiseme sijasema.

Pia mnatabia za kutokujifunza mambo mapya kila kitu unachoambiwa utasikia motivesheni spika, kila kitu kwenu hakiwezekani

(Ngoja tupate tangazo)
.[emoji116]
Wakuu samahani kwa yote ni mimi MR PIPA ambaye nilipata hiyo hela nikaenda kuhonga naombeni mnisaidie japo 5000 hali tete michongo imebuma natumaini ombi litashughulikiwa

(Twende tuendelee) hivi kwa nini umri huo umeshindwa kuwa hata na m30 sehemu mnafeli wapi?? Kama ww mwenyewe umejisaliti kwa kuto kuwa na kiasi hicho nani atakuamin, biashara asubuhi jioni mahesabu

Na namwomba shetani watu kama nyinyi muwe na gundu hadi kwenye mbususu yaani mnyimwe ili akili ziwakae
Nime cheka ila sijamanisha kufurahi ... hata sijui kwanini
 
Ila jamii forum mtu kama hawajui anaweza akaacha hata kuingia kujisomea manina [emoji3][emoji3][emoji3]
 
mmeamua kuZingizia Mungu kama umetimia kiakili kimwili huyo Mungu hana msaada kwenu omba mungu ukiwa mgonjwa nk
Ndiyo akili yako hii


 
Huwa nashangaaga sana hivi muda wote huo wa miaka kumi ya utafutaji wako unakosa kuwa na asset zenye thamani ya pesa hizo
Kwamba shetani kakuchukia sana kana kwamba anaona akikupa hivyo vitu utamsaliti

Au mnapata ndio starehe zimewazidi miaka 35 inakushindwa million 30 tu kwelii

alafu mnakazana ipo siku mungu atatusaidia hivi mpo serious kweli

Kuna jamaa alisemaga muuwawe mnalitia hasara taifa

Ni aibu tena aibu sana mwanaume kama wewe unakosaje kuwekeza bhana aah hata kiwanja kule Ituli ndani ndani nacho huna

Hata tumbuzi twa kujivunia labda baada ya miaka mitano wanaweza fika 50 ukauza nao huna kweeeli kabisa yaani kabisa
ila smat ya m3 na kagheto kakumbususia wake za watu unalo tena limesheheni vitu ambavyo haviwezi kuku move on wakati ujao

Tuache kujipa matumaini ya hovyo hata Mungu wenu hawapendi watu wa namna hiyo.

Umri ndioo huoooooooo unaenda msiseme sijasema.

Pia mnatabia za kutokujifunza mambo mapya kila kitu unachoambiwa utasikia motivesheni spika, kila kitu kwenu hakiwezekani

(Ngoja tupate tangazo)
.[emoji116]
Wakuu samahani kwa yote ni mimi MR PIPA ambaye nilipata hiyo hela nikaenda kuhonga naombeni mnisaidie japo 5000 hali tete michongo imebuma natumaini ombi litashughulikiwa

(Twende tuendelee) hivi kwa nini umri huo umeshindwa kuwa hata na m30 sehemu mnafeli wapi?? Kama ww mwenyewe umejisaliti kwa kuto kuwa na kiasi hicho nani atakuamin, biashara asubuhi jioni mahesabu

Na namwomba shetani watu kama nyinyi muwe na gundu hadi kwenye mbususu yaani mnyimwe ili akili ziwakae
We mwenyewe elfu 30 tu kulipa mtihani [emoji23][emoji23]


 
ukijaaliwa shukuru Mungu acha kukebehi wengine kwani maisha ni kama flip flop leo set kesho reset
 
Umesema miaka 10 ya utafutaji sio? Kuanzia 25 hapo unamaanisha!

Sawa, twende pole pole, mimi ni kijana nilikulia maisha ya kuunga unga, home msosi mmoja kwa siku, nimepita pita shule kwa msaada wa serikali, nimemaliza nikiwa na miaka 24. Sina cha kurithi wala sijaanzishiwa maisha.

Miaka 4 ya kutafuta kazi, sina kitu hapo! Miaka 2 iliyofuata nikiwa na ajira ya mshahara wa 1,000,000/= basic, nikaanza kupanga ghetto na kujiweka sawa!

Ili kuepuka kuwa centre point ya familia, najivisha majukumu, kuvuta wengine ili wajitegemee! Kwa miaka 4 napambana na maisha yangu na ya familia(shule, kula, matibabu na pango)

Miaka 10 ya utafutaji wa halali ndo hiyo hapo na umri ndo huo hapo! Sh 30m inapatikanaje?
- Au kwa mikopo ya riba iliyoshushwa? Poda? Michezo au Mission town? Kuwa chawa? Kulamba midomo?
Dah
 
Mleta mada ni katili sana. Ujumbe uko sawa ila umeandikwa kikatili. Umenikumbusha mpuuzi mmoja wa Forever Living nilihudhuria semina yake akadai kama una kipato cha USD 10,000 basi wewe ni fukara wa kutupwa. Hiyo kitu iliniuma balaa kwasababu hata dola 5000 tu nilikuwa sifikishi kwa mwaka.
 
ushalipwa elfu10 baada ya kukojolewa na Wanaume wenzako unakuja kuandika upumbav humu...
 
Jamiiforums is never boring, yaani ndugu mwandishi hujui ya kwamba kinachomtofautisha mtu na mtu ni uwezo wake wa kufikiri? Hayo mawazo yako hayawezekani kwasababu hatuwezi kufanana!
 
Not all success is due to hard work, and not all poverty is due to laziness.
Keep this in mind before judging people...


It okay to be 35+ without success.
It's okay to be 35+ without marriage.

Kila kitu kinakuja kwa wakati.

Hata vidole vyako havifanani.
Ili ecosystem ya maisha iende sawa.
Hatuwez kufanana wote.
Yeah, hatuwezi kufanana kutokana hatuwezi kufikiri sawa
 
Back
Top Bottom