Ni aibu taifa letu kuwa na Waziri wa Nishati anayesisitiza mgao wa umeme bila kutuhakikishia JNHP itaanza uzalishaji lini

Ni aibu taifa letu kuwa na Waziri wa Nishati anayesisitiza mgao wa umeme bila kutuhakikishia JNHP itaanza uzalishaji lini

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Hii ni aibu kubwa sana badala ya kudili na taifa letu kuwa na uzalishaji mwingi na wa uhakika ili umeme ushuke bei na sekta binafsi iweze kukua kwa uzalishaji kuongezeka. Waziri wa nishati anawakatisha tamaa sekta binafsi na kutamka bila aibu mgao utakuwepo .

Kama njia za kusafirisha umeme zimechakaa mbona wakati huyu waziri hajateuliwa hatukusikia habari ya mgao sababu njia za kusafirisha umeme zimechakaa?

Kama njia zimechakaa kwa nini zisifanyiwe ukarabati bila kuwepo mgao unaothiri uzalishaji mali?

Kwanini hatusikii huyu waziri akisisitiza JNHP kukamilika june 2022 kwa manufaa ya umma?
 
Hii ni aibu kubwa sana badala ya kudili na taifa letu kuwa na uzalishaji mwingi na wa uhakika ili umeme ushuke bei na sekta binafsi iweze kukua kwa uzalishaji kuongezeka. Waziri wa nishati anawakatisha tamaa sekta binafsi na kutamka bila aibu mgao utakuwepo .

Kama njia za kusafirisha umeme zimechakaa mbona wakati huyu waziri hajateuliwa hatukusikia habari ya mgao sababu njia za kusafirisha umeme zimechakaa?

Kama njia zimechakaa kwa nini zisifanyiwe ukarabati bila kuwepo mgao unaothiri uzalishaji mali?

Kwa nini hatusikii huyu waziri akisisitiza JNHP kukamilika june 2022 kwa manufaa ya umma?
Mimi mwana if mwenzenu, nimefanya mahojiano na Waziri JM na hizi hoja, amezijibu vizuri kwenye mahojiano yangu msikilize hapa kuhusu JNHPP

Pia Waziri JM, amezungumzia issues mbalimbali za Nishati ya umeme, gesi, umeme jua, mkaa, kuni etc

P
 
Tatizo la kile kijamaa kina ujuaji mwingi hadi kinaharibu, huwezi kua na maendeleo kwenye sector ya nishati huku at the same time anawapa kiburi TANESCO wafanye wanachojisikia
 
Mimi mwana if mwenzenu, nimefanya mahojiano na Waziri JM na hizi hoja, amezijibu vizuri kwenye mahojiano yangu msikilize hapa kuhusu JNHPP

Pia Waziri JM, amezungumzia issues mbalimbali za Nishati ya umeme, gesi, umeme jua, mkaa, kuni etc

P
@PascalMayalla!

Ujuwe wewe humu unaheshimika sana kama senior member [emoji120]

Lakini usije ukawa unatetea vitu ambavyo jamii kwa upana wake inaona haviko sawa.
Hiyo clip anachoongea Makamba ni upuuzi mtupu.

Ngoja niulize.....

Anapoongea kwa kusema eti wao wameona mbele zaidi kwa kusaini mkataba mpya wa ujenzi wa njia za usambazaji umeme (Distributions)kutoka bwawani kuingia kwenye gridi ya Taifa.

:Badala ya kukalia tu kwenye ujenzi wa bwawa lenyewe"
Anamaanisha nini?

Anataka kutuaminisha watanzania kwamba

Serikali ya awamu ya Tano ilisaini mkataba wa ujenzi wa Bwawa bila kuwa na mpango wa connection ya usambazaji (distribution)?

Hilo lisingewezekana,maana hata Masanja Kadogosa wa SGR kila siku anapoelezea maendeleo ya mradi wake.

Pia huongelea ujenzi wa vituo vya kupokelea umeme kutoka Bwawa la Nyerere.

Labda Makamba anachofanya hapo ni yaleyale ya kusaini mikataba mipya ili kuweka 10% yake?

Kama tunavyomuona akifanya tangu ameshika wizara hii.

Mbona kwenye hiyo clip haongelei rasmi ni nini kinaendelea na kimefikia wapi kwa sasa?

Huyu ni waziri mpigaji hata Body language yake inaonyesha jinsi anavyotafuta cha kuongea ili kisitibue mpango wake.

mayalla unaheshimika ila angalia usitetee wataokuja kuchafuka na hivyo mkachafuka woote pamoja.

Ahsante.
 
Jifunze kusikiliza huku uki reasons, mbona JM hapa anaeleza kila kitu


P

Sitaki kusikiliza kwa sababu zifuatazo.

1. Ikiwa miundo mbinu ni mibovu, je kipindi cha JPm uchakavu huu ulikuwa na Utii?

(i) Yaani nguvu haikuanguka kwa kuwa JPM aliilazisha isianguke, je waya haukukatika kwa kuwa rais amesema? Je vifaa kama transfoma, capacitors n.k zi a hofu na sauti ya rais?

(ii) Je mgawo waliotangaza na baadae kuondolewa kwa kauli ya rais, na baadaye kuja na ngojera nyingine kuwa makadirio yao hayakuwa na usahihi na pia kumbe ujazo wa maji ulikuwa unaongezaka ni kukiri kuwa hawana uoni wa kisayansi au ndio miundo mbinu kuwa na utii kauli za rais?

2. Huyu alipokuwa waziri wa mazingira alikuwa negativu na JNHP Project, je awezeje kutekereza kile alicho kinyume nacho?
(i) Kitendo cha kuja na hoja ya kuwa hakuna winchiya kubeba milango ina ukakasi maana haiwezekani mkandarasi hakujua kuwa moja ya vitendea kazi ni winchi hizo na kuwa hoja hiyo imewashtukiza. Hii ni ngojera yenye mashairi yasio na mizania ya vina. Haimbiki kirahisi.

(ii) Hii habari ya kuulizwa bungeni na kudifendi hoja kwa kusema kama wana haja na uwaziri na kumuingiza rais kama kinga ni mbinu chafu ya kutojibu swali na kujaribu kumuingiza rais katika utendaji wake dhaifu na kufanya watu waamini kuwa kusuasua kwa mradi una baraka za nyumba nyeupe. Jambo ambalo linaweza kuwa si kweli.

(iii) Kukimbilia kuona bora kuingia mikataba na makampuni ili yazalishe umeme inamaanisha hakuna seriousness ya JNHP kukamilika upesi. Inaleta kijana kutoamika kabisa na uwaziri wake japo anau difendi kwa vitisho bungeni lkn yeye ndio sio smart.

Simusikilizi kwa kuwa ameingia na failed to accomplish atitude na kubeza waliomtangulia, na kusema mradi ulikuwa nyuma kuliko ripoti zilizokuwepo. Je mfano wakipewa nafasi ya kum challenge hoja zake itakuwa ni serkali ya aina gani? Sema ni wastaarabu wako kimya au wana hofu na mfumo uliomuweka madarakani.

Kama huyu bado waziri wa hii sekta tutegemee next episode ya mifuko ya hela.
 
Hii ni aibu kubwa sana badala ya kudili na taifa letu kuwa na uzalishaji mwingi na wa uhakika ili umeme ushuke bei na sekta binafsi iweze kukua kwa uzalishaji kuongezeka. Waziri wa nishati anawakatisha tamaa sekta binafsi na kutamka bila aibu mgao utakuwepo .

Kama njia za kusafirisha umeme zimechakaa mbona wakati huyu waziri hajateuliwa hatukusikia habari ya mgao sababu njia za kusafirisha umeme zimechakaa?

Kama njia zimechakaa kwa nini zisifanyiwe ukarabati bila kuwepo mgao unaothiri uzalishaji mali?

Kwa nini hatusikii huyu waziri akisisitiza JNHP kukamilika june 2022 kwa manufaa ya umma?
January na Mwigulu hawafai kuwa mawaziri hata kidogo ni wapiga dili wakubwa
 
@PascalMayalla!

Ujuwe wewe humu unaheshimika sana kama senior member [emoji120]

Lakini usije ukawa unatetea vitu ambavyo jamii kwa upana wake inaona haviko sawa.
Hiyo clip anachoongea Makamba ni upuuzi mtupu.

Ngoja niulize.....

Anapoongea kwa kusema eti wao wameona mbele zaidi kwa kusaini mkataba mpya wa ujenzi wa njia za usambazaji umeme (Distributions)kutoka bwawani kuingia kwenye gridi ya Taifa.
Badala ya kukalia tu kwenye ujenzi wa bwawa lenyewe.
Anamaanisha nini?

Anataka kutuaminisha watanzania kwamba Serikali ya awamu ya Tano ilisaini mkataba wa ujenzi wa Bwawa bila kuwa na connection ya usambazaji (distribution) au ni yaleyale ya kusaini mikataba mipya ili kuweka 10% yake?

Mbona kwenye hilo haongelei rasmi ni nini kinaendelea na kimefikia wapi kwa sasa?

Huyu ni waziri mpigaji hata Body language yake inaonyesha jinsi anavyotafuta cha kuongea ili kisitibue mpango wake.

mayalla unaheshimika ila angalia usitetee wataokuja kuchafuka na hivyo mkachafuka woote pamoja.

Ahsante.
Paschal haheshimiki tena humu ndani labda una mheshimu wewe peke ako, huyu toka amefika bei na mvuto ukapotea hana hoja zaidi ya usanii
 
Sitaki kusikiliza kwa sababu zifuatazo.
1. Ikiwa miundo mbinu ni mibovu, je kipindi cha JPm uchakavu huu ulikuwa na Utii?
(i) Yaani nguvu haikuanguka kwa kuwa JPM aliilazisha isianguke, je waya haukukatika kwa kuwa rais amesema? Je vifaa kama transfoma, capacitors n.k zi a hofu na sauti ya rais?
(ii) Je mgawo waliotangaza na baadae kuondolewa kwa kauli ya rais, na baadaye kuja na ngojera nyingine kuwa makadirio yao hayakuwa na usahihi na pia kumbe ujazo wa maji ulikuwa unaongezaka ni kukiri kuwa hawana uoni wa kisayansi au ndio miundo mbinu kuwa na utii kauli za rais?
2. Huyu alipokuwa waziri wa mazingira alikuwa negativu na JNHP Project, je awezeje kutekereza kile alicho kinyume nacho?
(i) Kitendo cha kuja na hoja ya kuwa hakuna winchiya kubeba milango ina ukakasi maana haiwezekani mkandarasi hakujua kuwa moja ya vitendea kazi ni winchi hizo na kuwa hoja hiyo imewashtukiza. Hii ni ngojera yenye mashairi yasio na mizania ya vina. Haimbiki kirahisi.
(ii) Hii habari ya kuulizwa bungeni na kudifendi hoja kwa kusema kama wana haja na uwaziri na kumuingiza rais kama kinga ni mbinu chafu ya kutojibu swali na kujaribu kumuingiza rais katika utendaji wake dhaifu na kufanya watu waamini kuwa kusuasua kwa mradi una baraka za nyumba nyeupe. Jambo ambalo linaweza kuwa si kweli.
(iii) Kukimbilia kuona bora kuingia mikataba na makampuni ili yazalishe umeme inamaanisha hakuna seriousness ya JNHP kukamilika upesi. Inaleta kijana kutoamika kabisa na uwaziri wake japo anau difendi kwa vitisho bungeni lkn yeye ndio sio smart.

Simusikilizi kwa kuwa ameingia na failed to accomplish atitude na kubeza waliomtangulia, na kusema mradi ulikuwa nyuma kuliko ripoti zilizokuwepo. Je mfano wakipewa nafasi ya kum challenge hoja zake itakuwa ni serkali ya aina gani? Sema ni wastaarabu wako kimya au wana hofu na mfumo uliomuweka madarakani.
Kama huyu bado waziri wa hii sekta tutegemee next episode ya mifuko ya hela.
January ni mfanyabiashara hivyo anauza majenereta kwanza
 
Januari ni clown he ain't a leader yuko hapo sababu ua legacy ya babake .

Hana chochote cha kutu proove kwamba he can stand on his own feet and he deserves it!!

He ain't visionary not smart as u think!!

Huku tunakokwenda Dr kalemani ataonekana ana uafadhali kidogo japo kuwa alikua na ushamba wa kisukuma
 
Back
Top Bottom