Ni aibu taifa letu kuwa na Waziri wa Nishati anayesisitiza mgao wa umeme bila kutuhakikishia JNHP itaanza uzalishaji lini

Ni aibu taifa letu kuwa na Waziri wa Nishati anayesisitiza mgao wa umeme bila kutuhakikishia JNHP itaanza uzalishaji lini

Januari ni clown he ain't a leader yuko hapo sababu ua legacy ya babake .

Hana chochote cha kutu proove kwamba he can stand on his own feet and he deserves it!!

He ain't visionary not smart as u think!!

Huku tunakokwenda Dr kalemani ataonekana ana uafadhali kidogo japo kuwa alikua na ushamba wa kisukuma
Porojo porojo za kipuuzi
 
Januari ni clown he ain't a leader yuko hapo sababu ua legacy ya babake .

Hana chochote cha kutu proove kwamba he can stand on his own feet and he deserves it!!

He ain't visionary not smart as u think!!

Huku tunakokwenda Dr kalemani ataonekana ana uafadhali kidogo japo kuwa alikua na ushamba wa kisukuma
Porojo porojo za kipuuzi
 
Narudia. Kwenye swala la nishati ya taifa yeyote anaye hujumu kwa namna yoyote huyo ni adui namba moja. Kwa hili Akumbukwe Magufuli. Nitasimama na msimamo huo milele na milele.
Mhujumu wa taifa kwa namuna yote hata akiwa nani lzm hatua za sheria zichukuliwe.
 
Anaulizwa bwawa litakamilika lini anajibu wanatengeneza njia za usambazaji za dola 800

Lugha gongana na Mkuu Pascal unamtetea kabisa... au ww mwenzetu umeelewa nini kwenye majibu hayo ya waziri utusaidie na sisi vichwa ngumu [emoji1787]
Kilichopo ni kwamba huyu waziri na Genge Lake walimchukia Magu sana.

Sasa zile miradi ya Magu zenye tija kwa Taifa lazima zipigwe zengwe tu.

All in all hatuna waziri wa Nishati. Narudia kusema Makamba hafai kuwa Waziri wa nishati.

Lakini sisi wa hali ya chini hatuna la kumfanya ngoja afanye apendavyo, ajisikiavyo

. Akate umeme apendavyo. But naamini machozi ya watanzania itasikiwa siku moja
 
Kama huu mradi hautakamilika kabla ya 2023 bas itaniuma sanaa
 
@PascalMayalla!

Ujuwe wewe humu unaheshimika sana kama senior member [emoji120]

Lakini usije ukawa unatetea vitu ambavyo jamii kwa upana wake inaona haviko sawa.
Hiyo clip anachoongea Makamba ni upuuzi mtupu.

Ngoja niulize.....

Anapoongea kwa kusema eti wao wameona mbele zaidi kwa kusaini mkataba mpya wa ujenzi wa njia za usambazaji umeme (Distributions)kutoka bwawani kuingia kwenye gridi ya Taifa.

:Badala ya kukalia tu kwenye ujenzi wa bwawa lenyewe"
Anamaanisha nini?

Anataka kutuaminisha watanzania kwamba

Serikali ya awamu ya Tano ilisaini mkataba wa ujenzi wa Bwawa bila kuwa na mpango wa connection ya usambazaji (distribution)?

Hilo lisingewezekana,maana hata Masanja Kadogosa wa SGR kila siku anapoelezea maendeleo ya mradi wake.

Pia huongelea ujenzi wa vituo vya kupokelea umeme kutoka Bwawa la Nyerere.

Labda Makamba anachofanya hapo ni yaleyale ya kusaini mikataba mipya ili kuweka 10% yake?

Kama tunavyomuona akifanya tangu ameshika wizara hii.

Mbona kwenye hiyo clip haongelei rasmi ni nini kinaendelea na kimefikia wapi kwa sasa?

Huyu ni waziri mpigaji hata Body language yake inaonyesha jinsi anavyotafuta cha kuongea ili kisitibue mpango wake.

mayalla unaheshimika ila angalia usitetee wataokuja kuchafuka na hivyo mkachafuka woote pamoja.

Ahsante.
Huyo ni Social Media Influencer (Hususani JF), ameshapewa bahasha yake tayari kuisafisha wizara mtandaoni.
 
Nadhani Mkataba ni mmoja w kujenga bwawa na distribution lines, anayo ongea makamba hata yeye hajui ana ongea nini, kwake ni matongo tongo pia

Kuna vitu viwili ambavyo tuna takiwa tujifunze watanzania, Kuna wizara Zina hitaji waziri anaejua kwanza vitu vyenyewe, maana yake utazungumza vitu ambavyo una vielewa au uko idea , kingine ni uchapa kazi, so Kuna Makamba , Mwiguru na Nape, hawa ni waongeaji wazuri na wapenda Media, lakini vitendo ni zero,

Nape Kwa wizara yake Ile mambo yanaweza yasiwe magumu maana yeye ni kucheka Cheka na kushika miuno ya wasanii, lakini Kwa Makamba na Mwiguru hizi ni sekta muhimu unahitaji Waziri makini, mchapa kazi na mfuatiliaji na anae jua kitu chenyewe ,sio kuandikiwa na kwenda kusoma kama yalivyo,

Tz shida kubwa maneno ni mengi kuliko vitendo, watu hawako focused, mambo ya repair haya mnaweza fanya hata usiku Kwa kutoa notifications ili shughuli za uzalishaji zisisimame, wao wana chukulia Kila kitu poa na kufanya kazi Kwa mazoea miaka yote, tuna taka matokeo sio mbwembwe, kwanza ni aibu kwa taifa la miaka 60 kuwa na kukatika katika Kwa umeme.
 
Kuna watu wengine wakiambiwa ukweli wanataka walazimishe jambo wanaloliamini wao. Mnataka muambiwe Kama yule eti tunajenga kwa hela za ndani wakati tunakopa?. Na watu wakaamini hivo bila hata kujiuliza? Na ungejifafanya kuuliza sana ungeambiwa umetumwa na mabeberu.
Heshimuni watu wasikilizeni wapeni muda kama walivyoomba.
Lini mimi au wewe hatutimizi malengo kwa muda tuliojipangia.
Mnajua hali ya kisiasa ilivyokua lkn Kila jambo mnalaumu. Why guys? Taifa la kudai kudai in Mwl. Nyerere voice.
Tumepitia njia ya kutimiza matakwa ya mtu mmoja. Jiulize tulipaswa kufanya miradi hii mikubwa ya reli,na bwawa la umeme kwa wakati mmoja kwa uwiano na our real GDP?. Tuna mzingo mkubwa Kama taifa reli kufika mwanza,msongati,Kigoma, nk.
 
Kuna watu wengine wakiambiwa ukweli wanataka walazimishe jambo wanaloliamini wao. Mnataka muambiwe Kama yule eti tunajenga kwa hela za ndani wakati tunakopa?. Na watu wakaamini hivo bila hata kujiuliza? Na ungejifafanya kuuliza sana ungeambiwa umetumwa na mabeberu.
Heshimuni watu wasikilizeni wapeni muda kama walivyoomba.
Lini mimi au wewe hatutimizi malengo kwa muda tuliojipangia.
Mnajua hali ya kisiasa ilivyokua lkn Kila jambo mnalaumu. Why guys? Taifa la kudai kudai in Mwl. Nyerere voice.
Tumepitia njia ya kutimiza matakwa ya mtu mmoja. Jiulize tulipaswa kufanya miradi hii mikubwa ya reli,na bwawa la umeme kwa wakati mmoja kwa uwiano na our real GDP?. Tuna mzingo mkubwa Kama taifa reli kufika mwanza,msongati,Kigoma, nk.
Mkuu hapo ulipo kuna umeme?

Huku kwetu wazo, tegeta madale yote hakuna umeme toka jana saa sita usiku. Ngoja tumpe Muda atengeneze mitambo.
 
Hii ni aibu kubwa sana badala ya kudili na taifa letu kuwa na uzalishaji mwingi na wa uhakika ili umeme ushuke bei na sekta binafsi iweze kukua kwa uzalishaji kuongezeka. Waziri wa nishati anawakatisha tamaa sekta binafsi na kutamka bila aibu mgao utakuwepo .

Kama njia za kusafirisha umeme zimechakaa mbona wakati huyu waziri hajateuliwa hatukusikia habari ya mgao sababu njia za kusafirisha umeme zimechakaa?

Kama njia zimechakaa kwa nini zisifanyiwe ukarabati bila kuwepo mgao unaothiri uzalishaji mali?

Kwanini hatusikii huyu waziri akisisitiza JNHP kukamilika june 2022 kwa manufaa ya umma?
Nadhani hiyo mitambo ya Tannesco ilikuwa imeoza. Make kila akihojiwa anasema wanafanya marekebisho.

Vinginevyo hiyo mitambo ikiwa mibovu ndiyo inafanya kazi kwa ufasaha. Ana maudhi huyo waziri huyo!!
 
Back
Top Bottom