Ni aibu taifa letu kuwa na Waziri wa Nishati anayesisitiza mgao wa umeme bila kutuhakikishia JNHP itaanza uzalishaji lini

Hata sijamuelewa, yaan anababaika mnoo na hayo madole yake msieeeew.
Anaboa huyu baba khaaah.
 
Bora umemuambia ukweli huyu mzee, ukute hapo baada ya mahojiano alipewa takrima, afu anakuja hapa kumsifia huyu fisadi kubwa.
Anakeraaa huyu makatani msieeeew
 
Rais anahitisha wa wakezaji kwa sera yake ya kufungua nchi. Waziri aliye mteua kumsadia upande wa pili yuko anawafukuza wawekezaji kwa kutumia media na ufafanuzi makini wa kuonesha jinsi tatizo la Tanesco lilivyo kubwa la kuhitaji $1.9.
 
Anaulizwa bwawa litakamilika lini anajibu wanatengeneza njia za usambazaji za dola 800

Lugha gongana na Mkuu Pascal unamtetea kabisa... au ww mwenzetu umeelewa nini kwenye majibu hayo ya waziri utusaidie na sisi vichwa ngumu [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full vichekesho khaaaah
 
Wee makamba tutolee ujinga wako hapa, msieeeew
 
Hata sijamuelewa, yaan anababaika mnoo na hayo madole yake msieeeew.
Anaboa huyu baba khaaah.
Mkuu cocastic , this is very fantastic!, sisi binadamu tunatofautiana sana uelewa, naweza kukusaidia kukuelewesha mpaka ukamuelewa.

Jingine, vile ni vidole vyake na sio madole yake!, ila wazungumzaji wote wazuri, huongea kwa ishara za vidole, na kwa vile vidole vina kazi zaidi ya moja, usikute wewe unaboreka ukiona mtu anaongea kwa ishara za vidole, kwasababu kwako kazi ya vidole unayoipenda ni yale matumizi mengineyo, ndio maana hata vidole umeita ma...!.
P
 
Mpaka sasa nishati ya umeme ni tatizo hapa nchini. Maana kila siku ni umeme kukatika hovyo.
Mkuu Nyankurungu2020 , kwanza hongera sana kwasababu wewe ni msemaji mzuri. Ukiwa ni msemaji mzuri, pia ujifunze kusikiliza, yaani jifunze pia kuwa msikilizaji mzuri wa reasons behind, baada ya kusikia hoja ndipo upangue hoja kwa hoja. Sababu za kukatika katika kwa umeme mara kwa mara zimesemwa zaidi ya mara mia, ila unawezekana wewe hukuwahi kuzisikia!. Msikilize
bwawa la JNHP likidorola kwa sababu za ajabu ambazo ni upigaji pesa wa kiroho usio na huruma kwa raia.
Kuhusu JNHPP P.
 
Sijamuelewa kabisa. Maana tunataka bwawa likamilike june 2022.
Ujenzi wa bwawa sio sawa na ujenzi wa genge la kuuzia nyanya. Genge unaweza kuanza ujenzi asubuhi, jioni ukapanga nyanya zako. Kwenye ujenzi wa bwawa JM amesema kila kitu hapa
Mpaka sasa nishati ya umeme ni tatizo hapa nchini. Maana kila siku ni umeme kukatika hovyo.
Mkuu Nyankurungu2020 , kwanza hongera sana kwasababu wewe ni msemaji mzuri. Ukiwa ni msemaji mzuri, pia ujifunze kusikiliza, yaani jifunze pia kuwa msikilizaji mzuri wa reasons behind, baada ya kusikia hoja ndipo upangue hoja kwa hoja. Sababu za kukatika katika kwa umeme mara kwa mara zimesemwa zaidi ya mara mia, ila unawezekana wewe hukuwahi kuzisikia!. Msikilize
bwawa la JNHP likidorola kwa sababu za ajabu ambazo ni upigaji pesa wa kiroho usio na huruma kwa raia.
Kuhusu JNHPP P.
 
Ha ha haaaa! Kweli aisee, hapa ndugu Paskali aje atufundishe namna ya "kusikiliza na ku reason" tena kwakutumia clip hii hii! Katu ndugu yetu huyu asibaki na na elimu hii peke yake.
Naendelea kusisitiza tujifunze kusikiliza, tatizo lilianzia hapa
Solutions pia tunazo
P
 
Wasipokuelewa basi tena.
 
Mkuu Pascal Mayalla hizi ni karne za waziri wa Nishati kuzumguzia transformer kuwa overloaded? Unaingiza tril 1.7 kwa ajili ya kusambaza umeme wakati uzalishaji haujapata uhakukika? Kama sio upigaji ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…