Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Wenye kufikiria kwa undani tunakujua vizuri kuliko unavyodhania. Samia kawapa uhuru mawaziri wake na ni msikivu asiyekurupuka na kuwafokea akiwatukana hadharani, hivyo wanafanya kazi kwa weledi wa hali ya juu.Ndio maana tunakujua wewe ni mburula. Hayati JPM ameingia vipi hapa?
Daah nashindwa hata nikwambie nini.Mimi mwana if mwenzenu, nimefanya mahojiano na Waziri JM na hizi hoja, amezijibu vizuri kwenye mahojiano yangu msikilize hapa kuhusu JNHPP
Pia Waziri JM, amezungumzia issues mbalimbali za Nishati ya umeme, gesi, umeme jua, mkaa, kuni etc
P
Mkuu Pascal Mayalla hizi ni karne za waziri wa Nishati kuzumguzia transformer kuwa overloaded? Unaingiza tril 1.7 kwa ajili ya kusambaza umeme wakati uzalishaji haujapata uhakukika? Kama sio upigaji ni nini?
Ukiisha kuwa na negative mentality kumhusu mtu fulani, hata huyo mtu afanye mazuri vipi, hutayaona, too much negativity inasababisha a blurred vision, you can't see clearly anymore, you just became too blind to see, you can't be objective anymore kila kitu ni kulaumu, kulalamika na kunung'unika. Kwa hali ya umeme ilivyo, hata angekuja malaika kutoka mbinguni, bila uwekezaji wa maana, there is nothing much he can do. Kulifanyika makosa toka nyuma, na hili nimelizungumza hapa Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!Wewe kibaraka wa January? Unapost nini zaidi ya kelele za mpiga madili?
Kwa hiyo kwa akili yako hicho ndio kila kitu.Jifunze kusikiliza huku uki reasons, mbona JM hapa anaeleza kila kitu
P
Pasco you're compromised. Nimesikiliza maelezo ya Makambahaelezi lini mradi wa Bwawa lile utakamilikq. Concern hap ni LINI. Sio nguvu kubwa sijui kaai kubwa... Its about TIME FRAMEJifunze kusikiliza huku uki reasons, mbona JM hapa anaeleza kila kitu
P
Wewe kibaraka wa January? Unapost nini zaidi ya kelele za mpiga madili?
Umeleta hoja unajibiwa unaanza matusi. Pascal ni mkubwa kiumri mtunzie heshima kwa majibu yenye ustaarabu.
Huna akili wala Iq kujadili mada kama hii unavamia mada wakati huna akili. Kaa kimya endelea na upumbavu uliojaa kichwani kwako.
Hapo katika ku-reason ndio pana matatizo. Huyo anaishiTanzania ya kabla ya 2021 March wakati tumefika katikati ya 2022, na wapo wengi wa aina yake.
Wewe bichwa maji una uwezo gani wa kureason? Pimbi mkubwa usiekuwa na akili.
Mkuu Phillipo Bukililo , kiukweli sikujua najadiliana na mtu wa type gani!, pole kwa hiyo mvua, Mkuu Nyankurungu2020 uwe na siku njema.Asiyekuwa na akili ni wewe unaandika ujinga ukijibiwa mapovu yanakumwagika mdomoni.
Umesikia vizuri?Kama nimeelewa hizo clips, 1.7 trillions ni za uzalishaji kwa minajili ya bwawa na miundombinu yake.
Nashangaa Pascal Mayalla anajitoa fahamu kivipi? Anapindisha maneno for no reason. Hoja ipo wazi kabisa alafu anatuwekea clip zisizo na mashiko.Pasco you're compromised. Nimesikiliza maelezo ya Makambahaelezi lini mradi wa Bwawa lile utakamilikq. Concern hap ni LINI. Sio nguvu kubwa sijui kaai kubwa... Its about TIME FRAME
Miradi mikubwa hii ya kiserikali ina muda wa utekelezaji kwa mujibu wa nkataba.
Ingemake swnce kama angesema mradi ulipaswa kutumia 7yrs kukamilika lakini tumeweka nguvu na kasi ktk utekelezaji na sasa matarajio ukamilike ndani ya miaka 5 badala ya 7
Wewe Pascal Mayalla unatuona kuwa watanzania ni wajinga sana?Ukiisha kuwa na negative mentality kumhusu mtu fulani, hata huyo mtu afanye mazuri vipi, hutayaona, too much negativity inasababisha a blurred vision, you can't see clearly anymore, you just became too blind to see, you can't be objective anymore kila kitu ni kulaumu, kulalamika na kunung'unika. Kwa hali ya umeme ilivyo, hata angekuja malaika kutoka mbinguni, bila uwekezaji wa maana, there is nothing much he can do. Kulifanyika makosa toka nyuma, na hili nimelizungumza hapa Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
P
Uzuri ni kwamba Makamba ameshaeleweka anataka kufanya nini na atafika vipi huko anapotaka kwenda. Anao uwezo wa kujieleza kwa upole na akaeleweka, hiyo ni faida ya uwaziri wake.Wewe Pascal Mayalla unatuona kuwa watanzania ni wajinga sana?
Umesahau kuwa kulikuwa na mgao wa umeme uliokuwa ni sehemu ya maisha yetu lakini 2016-2020 tuliusahau?
Umesahahu kuwa mkandarasi huwa anafanya feasebility study ya lini ataanza kazi ya ujenzi na lini atamaliza. Kama ikitokea kuna changamoto za ucheleweshaji anatoa taarifa.
Nini kilisababisha story za crane ziwe na mashaka kwa taifa letu juu ya uchepushaji maji?
Sasa hivi sababu kubwa tunaambiwa ni uchakavu wa miundo mbinu ya kusafirisha umeme. Hivi kama miundombinu ni chakavu kiasi cha kutofaa ingehimili kwa miaka zaidi ya mitano bila kusumbua? Maana umeme ni nguvu ya asili kama miundo mbinu mibovu inaharibika yenyewe tu.
Karne hii ni ya waziri kuzungumzia habari ya Transfoma kweli? Maana suala la mahitaji ya transforma ni suala la meneja wa Tanesco Wilaya kujua mahitaji ya maeneo yake na kubadili kulingana na mahitaji.
Nchi inajipanga kusaini mkataba mnono wa mradi mkubwa wa gesi.Hii ni aibu kubwa sana badala ya kudili na taifa letu kuwa na uzalishaji mwingi na wa uhakika ili umeme ushuke bei na sekta binafsi iweze kukua kwa uzalishaji kuongezeka. Waziri wa nishati anawakatisha tamaa sekta binafsi na kutamka bila aibu mgao utakuwepo .
Kama njia za kusafirisha umeme zimechakaa mbona wakati huyu waziri hajateuliwa hatukusikia habari ya mgao sababu njia za kusafirisha umeme zimechakaa?
Kama njia zimechakaa kwa nini zisifanyiwe ukarabati bila kuwepo mgao unaothiri uzalishaji mali?
Kwanini hatusikii huyu waziri akisisitiza JNHP kukamilika june 2022 kwa manufaa ya umma?