gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni zumbukuku kama wewe ambae hujaelewa hapa....kwisha habari yenu endeleeni kulamba asali na kujikomba mtavuna mabuaUngesema muda wa kufanya nn ungeonekana wa maana hapa unaonekana kama KASUKU/KIKARAGOSI tu unayeitikia mwimbo wowote
Kwani kila kitu ni lazima ukaongee bungeni kwani mikutano ya siasa mliofunguliwa ni kumsema sema marehemu Magufuli na stupidUpinzani haupo bungeni kwa wizi wa kura wa yule punguani taarifa au udhaifu wa serikali wangeutoa chooni? Muwe mnafikiria kabla ya kuandika maujinga haya
Sikiliza nikuambie wewe kwenye mikutano ya hadhara sera na mipango ya hovyo ya serikali yenu inasemwa sana mfn watu walisema bodaboda siyo ajira mkaanza kujambiana .Kwani kila kitu ni lazima ukaongee bungeni kwani mikutano ya siasa mliofunguliwa ni kumsema sema marehemu Magufuli na stupid
Hizo ni sera au majungu?Sikiliza nikuambie wewe kwenye mikutano ya hadhara sera na mipango ya hovyo ya serikali yenu inasemwa sana mfn watu walisema bodaboda siyo ajira mkaanza kujambiana .
Magufuli anasemwa na atasemwa sana kwasababu alikuwa muovu dhidi ya binaadam? Ben sanane, Anzory grandad na wengine weeeengi aliowapoteza kwa ufedhuli wake
Kama hutaki asemwe kamfufue uzikwe wewe