econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hujaelewa, anamaanisha serikali ndo imegundua haya madudu siyo wapinzani, Ina maana wapinzani wanagonjea hadi serikali igundue tatizo then ndo waanze kuisakama serikali,
CAG ni mtumishi wa serikali na kazi yake ni kugundua matatizo kama hayo,,
Msijifiche kwenye mgongo wa upinzani. Ripoti ya CAG bado mnaidharau ndio Leo wapinzani walete tuhuma zao so mtaanza kuwaita wachonganishi. Wapinzani wamewaacha mpambane na wizi wenu.