Ni aina gani ya maswali ambayo siyo busara kuuliza ovyo ovyo?

1. Dada una miaka mingapi ?
Sasa kama namtaka awe maza hausi unataka nichukue bibi kizee?? Je, kama nikikutana naye kwenye dala dala kipindi hiki mashule yamefungwa niache kuuliza umri?? Au una maanisha kuwa unamwuliza ana miaka mingapi tangu ameonjwa?
 
Sasa kama namtaka awe maza hausi unataka nichukue bibi kizee?? Je, kama nikikutana naye kwenye dala dala kipindi hiki mashule yamefungwa niache kuuliza umri?? Au una maanisha kuwa unamwuliza ana miaka mingapi tangu ameonjwa?
Kuna ile hali mtu anauliza maswali ambayo hata akipewa majibu
Hana matumizi nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…