Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Mkuu eti ID yako ya zamani ilikuwa inaitwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe kabila gani ?Unafanya jazi gani???ili swali c lipendi mno jibu langu nawambiaga Muza viatu kariakoo...
121.
Maswali ya kiwaki
Unamjibu gari la babakoooUnamuona mtu kashuka kwenye gari,mkononi anatikisa funguo,unamuuliza vipi hiyo gari ya kwako...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Muuliza swali unamlamba kofi kwanzaHivi unaishi ili 'ule' au unakula ili "uishi" swali la kipuuzi kweli yaani kutoka kwa mpuuzi fulani.
UnamjibuUshaongeza vitu vingine ndani?........................puuz kabsa
[emoji3][emoji3] kweli hilo kenge "bila picha hainogi" hapo mtu anatafuta.[emoji3]Kuna wale unaanzisha uzi wanauliza "Wapi picha..?"
Halafu uzi wenyewe ni swali umeuliza "jamani msaada wapi naweza pata nyumba ya kupanga"
Linatokea kenge huko linauliza wapi picha![emoji28]
Naam!