Ni aina gani ya maswali ambayo siyo busara kuuliza ovyo ovyo?

Ni aina gani ya maswali ambayo siyo busara kuuliza ovyo ovyo?

Nakumbuka kuna usiku mmoja nilikuwa maeneo na washkaji japo sio kivile maana huwa tunakutana kwenye kijiwe cha pombe...

Ilipotimu saa sita kamili usiku nikapata notification kwenye simu kuwa hongera Leo ni siku yako ya kuzaliwa...nilifurahi Ila nilijiona mzembe maana nilikuwa nimesahau kabisa,Kwa furaha niliyokuwa nayo nikaamua kuzungusha round moja ya kinywaji katika Ile meza huku nikiwaambia Leo ni siku yangu ya kuzaliwa....

Basi washkaji wakanitakia maisha marefu na baraka tele,tukafurahi tukiendelea kupiga mambo,miongoni mwa watu tuliokaa pale akaniuliza umetimiza miaka mingapi?nikamtajia miaka yangu,ikawa mada kuu sasa kila mmoja akataja miaka yake,Kwa ujumla katika Ile meza nikagundua washkaji wanne walikuwa wamenizidi umri,wawili nilikuwa nimewazidi kiumri....

Sasa ikawa mambo yamekuwa tofauti kila mada ikijadiliwa ukichangia unahukumiwa kutokana na umri wako...linaweza likaongelewa Jambo ukasikia mtu anakuambia"kaa kimya wewe,bado bwana mdogo utashindana na mm nilietangulia kuliona jua"

Kiukweli pale nilijifunza Kwa nn watu huwa hawapendi kuweka wazi umri wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafanya kazi wapi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari zenu popote mlipo. Poleni na hongereni kwa mapambano yenu dhidi ya kirusi corona.

Katika jamii kuna watu ambao wana ka tabia ka kuuliza mambo binafsi ya watu.

Leo ningependa tutumie ukurasa huu kuambiana aina ya maswali ambayo huwa yanaweza kumkera anayeulizwa kwa namna moja au nyingine.

Haya ni maswali ambayo hata ukiyatolea majibu kwa anayeuliza , hawezi kukusaidia kwa lolote zaidi ya kukusanya taarifa zako.

Mfano wa maswali ambayo naona watu huwa hawapendi kuulizwa ni kama.

1. Dada una miaka mingapi ?
2. Kaka mkeo atazaa lini ?
3. Dada utaolewa lini?
4. Hauchoki kukaa kwenye nyumba ya kupanga
5. Dada una miaka mingapi ?
6. Kwanini haununui gari mpya
7.

Na kadhalika na kadhalika.

Mwana jf ebu tuambie ni maswali yapi ambayo huwa hupendi kuulizwa ovyo ovyo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Una buku hapo?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye;Mbona siku hizi umenenepa sana??
mimi;kwani kuna nyama yako huioni sehemu??
yeye; mbona siku hizi umekonda sana??
mimi; kwani nikinenepa kuna urithi utapata kwenye mwili wangu ck nikifa??
😂😂😂😂😂😂😎😎😛

wanaboa sana hawa watu kwakwel!
 
Yeye;Mbona siku hizi umenenepa sana??
mimi;kwani kuna nyama yako huioni sehemu??
yeye; mbona siku hizi umekonda sana??
mimi; kwani nikinenepa kuna urithi utapata kwenye mwili wangu ck nikifa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]😎😎😛

wanaboa sana hawa watu kwakwel!
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye;Mbona siku hizi umenenepa sana??
mimi;kwani kuna nyama yako huioni sehemu??
yeye; mbona siku hizi umekonda sana??
mimi; kwani nikinenepa kuna urithi utapata kwenye mwili wangu ck nikifa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]😎😎😛

wanaboa sana hawa watu kwakwel!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio Unaishi Hapa?

Umekula?

Hujawahi kufikiria kufanya kitu kingine?
 
Back
Top Bottom