Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Miti hy hapo yote unaweza lima shamba, mtazamo wangu japo lengo anataka miti ya kivuli kwa bustani ya nyumbani, Sio dhambi akipata kivuli na matunda pia, unapanda mti mmoja mmoja ya matunda tofltofauti, utapata kivuli na matunda pia. Be multipurpose.[QUOTE
ni kweli mkuu ila mm kama manengelo swez upanda ht
Naujua bana..kumbe ndio mharadali..I thought mharadali is a fictional tree kutoka kwenye kitabu chenu nyie wapenda mungu!
Ila nikipata hela lazima ninunue miche ya mbele ije kwa ndege airport nikapande...Mbele ni aibu kwa miti acha kabisa!
Whether zinakubali either way,maana ukichukia Italy au LA au hata Miami ni nearly the same![/QUO
utaumbuka mkuu..landa uniambie utaishj sehem za baridi.. mimi nimetoka na maua mkoa fulan wa baridi huku imegoma ng'o..au sijui utengeneze shade... wenzetun ni shida huwa nagandaga instagardenlovers had nasema dah!wale ni noma