Wakuu,
Hadi anatia huruma, haki ya Babu, na Bibi!
Yaani toka ashike uongozi zimefika hotuba zaidi ya Mia nne (ambazo ni rasmi) na bado kwa muda uliobaki sijui zitafikia ngapi!
Jamani hivi ni yeye ana enjoy pia kama ilivyokuwa kwa Mwenda zake, maana kwa yule alivyokuwa akipenda kuongea, nadhani hata usingizini alikuwa akihutubia.
Hebu mshaurini maana saikolojia ya msingi tu husema - wenye mvuto na bashasha katika hotuba, hutumia matukio yenye hisia, na hawakinai masikioni.
Mnamchosha kiongozi wetu hee!
Hadi anatia huruma, haki ya Babu, na Bibi!
Yaani toka ashike uongozi zimefika hotuba zaidi ya Mia nne (ambazo ni rasmi) na bado kwa muda uliobaki sijui zitafikia ngapi!
Jamani hivi ni yeye ana enjoy pia kama ilivyokuwa kwa Mwenda zake, maana kwa yule alivyokuwa akipenda kuongea, nadhani hata usingizini alikuwa akihutubia.
Hebu mshaurini maana saikolojia ya msingi tu husema - wenye mvuto na bashasha katika hotuba, hutumia matukio yenye hisia, na hawakinai masikioni.
Mnamchosha kiongozi wetu hee!