Ni akili au matope ? Wachumba wanapelekana Vikoba kwenda kukopa milioni kumi, wanafanyia harusi kubwa. Deni wanakwepa kulipa

Kiki
 
Vijana wa hovyo hovyo sana hawa.
 
Mimi naweza kuoa kwa bajeti ya chini ya buku saba,ndoa ikafana na watu wakala slesi mbilimbili za mkate na juicy joly.
Jioni watu watawanyike waniache na mke wangu mimi sitaki ku-fake maisha.
 
Huu ukanda wa africa wenye mtindio wa ubongo ni wengi kuliko watu wenye akili timamu. Hivi unaanzaje kukopa kwa kitu kisicho cha lazima? Tuanzie hapo kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…