Ni akili au matope ? Wachumba wanapelekana Vikoba kwenda kukopa milioni kumi, wanafanyia harusi kubwa. Deni wanakwepa kulipa

Ni akili au matope ? Wachumba wanapelekana Vikoba kwenda kukopa milioni kumi, wanafanyia harusi kubwa. Deni wanakwepa kulipa

Habari wadau.

Nimekutana na post mtandaoni wa maharusi wapya wanalalamikiwa kukwepa kulipa deni la milioni zaidi ya 10 walizokopa kwa ajili ya kufanyia harusi yao.

Inasemekana walifanya harusi kubwa iliyotrend instagram kwenye page za MC maarufu. Kwa hela za mkopo. Ila kulipa deni hawataki

Inasemekana kazi ya bwana harusi ni winga maarufu wa kuuza simu makumbusho.

View attachment 3201212
Kiki
 
Habari wadau.

Nimekutana na post mtandaoni wa maharusi wapya wanalalamikiwa kukwepa kulipa deni la milioni zaidi ya 10 walizokopa kwa ajili ya kufanyia harusi yao.

Inasemekana walifanya harusi kubwa iliyotrend instagram kwenye page za MC maarufu. Kwa hela za mkopo. Ila kulipa deni hawataki

Inasemekana kazi ya bwana harusi ni winga maarufu wa kuuza simu makumbusho.

View attachment 3201212
Vijana wa hovyo hovyo sana hawa.
 
Mimi naweza kuoa kwa bajeti ya chini ya buku saba,ndoa ikafana na watu wakala slesi mbilimbili za mkate na juicy joly.
Jioni watu watawanyike waniache na mke wangu mimi sitaki ku-fake maisha.
 
Habari wadau.

Nimekutana na post mtandaoni wa maharusi wapya wanalalamikiwa kukwepa kulipa deni la milioni zaidi ya 10 walizokopa kwa ajili ya kufanyia harusi yao.

Inasemekana walifanya harusi kubwa iliyotrend instagram kwenye page za MC maarufu. Kwa hela za mkopo. Ila kulipa deni hawataki

Inasemekana kazi ya bwana harusi ni winga maarufu wa kuuza simu makumbusho.

View attachment 3201212
Huu ukanda wa africa wenye mtindio wa ubongo ni wengi kuliko watu wenye akili timamu. Hivi unaanzaje kukopa kwa kitu kisicho cha lazima? Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom