Ni akina nani waliohukumiwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe kama alivyosema Rais Samia?

Ni akina nani waliohukumiwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe kama alivyosema Rais Samia?

Please, respect our Head of State. Huna adabu wewe!

Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili.

Kwanini mnapenda provocation?
Tafsiri ya kuongea maneno ndivyo sivyo maana yake nini kama sio"UONGO"?
 
Tayari kabla ya mahojiano ya leo kuna viongozi walianza kujiuliza:

7 August 2021

PROF: LIPUMBA AMZUNGUMZIA MBOWE, KUHUSU SUALA LA UGAIDI.




Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais anatuma pole kwa mtu mwenye kutuhumiwa kesi nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka ya kutisha sana ya ugaidi na uhaini.

Source: StarTV Habari
Wakat mwingine lipumba anaitumia akili yake vizur
 
Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea.

Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.

Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
Ni akina Ben saa kenda
 
Kiuhalisi CCM hawakuwa tayari kuingiza mfumo wa vyama vingi toka awali.Ilikuwa ni fix tu za Nyerere kuhadaa Dunia kwamba Tanzania imekuwa nchi ya kidemokrasia.Huwezi kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi ukimuacha raisi ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala akiwa na madaraka makubwa kiasi hicho.Wangekuwa Wana nia ya dhati kuingia kwenye demokrasia ya kweli,wangeanza kwanza kubadili katiba iliyopo badala ya kuweka viraka!
 
Kuwa na subira. Uhondo wote utaujua kesi hii ya ugaidi itakapoanza kuunguruma mahakama kuu mwezi Oktoba au Novemba 2021. Hao vijana walianza kutumikia kifungo chao watakuja mahakamani kama mashaidi wa upande wa mashitaka. Haya mambo hakuanza jana wala juzi. Yalitikisa huko Kibiti na Mkuranga yakilenga viongozi wa kisiasa mbali mbali, baadhi yao waliuawa. Vijana hao waliotekeleza ugaidi huo, kwa mateso yanayoyapata waliamua kuwataja mabosi wao waliokuwa wanawatumikia. Akili zenu ziwe zina connect the dots! Fumbo hufumbiwa mjinga. Mmepewa fumbo limewashinda kulifumbua. Mnataka mfumbuliwe, haiwezekani.
Azory Gwanda,Ben Sa8 na wenzao.Unafikirisha!!!
 
Nami nakazia kuuliza ni akina waliohukumiwa jela kwa kesi ya ugaidi ambayo mh Mbowe kaunganishwa?

Ni kesi namba ngapi maana ni sharti ilisikilizwa mahakama kuu na kuhusisha mawakili wa pande zote mbili Jamhuri na utetezi?

Je, kwa kauli ya mh rais SSH kwenye jibu la swali kutoka kwa mwandishi wa BBC aliyempotosha ni nani?
 
Nami nakazia kuuliza ni akina waliohukumiwa jela kwa kesi ya ugaidi ambayo mh Mbowe kaunganishwa?

Ni kesi namba ngapi maana ni sharti ilisikilizwa mahakama kuu na kuhusisha mawakili wa pande zote mbili Jamhuri na utetezi?

Je, kwa kauli ya mh rais SSH kwenye jibu la swali kutoka kwa mwandishi wa BBC aliyempotosha ni nani?
😆😆😆
 
Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea.

Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.

Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
Anawajua mwenyewe Samia, ss hatuwajui!!
 
Please, respect our Head of State. Huna adabu wewe!

Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili.

Kwanini mnapenda provocation?
. Lini makamu wa rais akapigiwa kura?
 
Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea.

Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.

Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
usiwe kama huna akili bimkola walikuwa sita na mbowe wa saba watatu wakaachiwa ndiyo hukumu yao hiyo acha uchizi
 
1628847703033.png


2878995_images_9.jpeg
 
Back
Top Bottom