Tafsiri ya kuongea maneno ndivyo sivyo maana yake nini kama sio"UONGO"?Please, respect our Head of State. Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili.
Kwanini mnapenda provocation?
Wakat mwingine lipumba anaitumia akili yake vizurTayari kabla ya mahojiano ya leo kuna viongozi walianza kujiuliza:
7 August 2021
PROF: LIPUMBA AMZUNGUMZIA MBOWE, KUHUSU SUALA LA UGAIDI.
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.
Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais anatuma pole kwa mtu mwenye kutuhumiwa kesi nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka ya kutisha sana ya ugaidi na uhaini.
Source: StarTV Habari
Ni akina Ben saa kendaNamba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea.
Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.
Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
nguvu za sodamama alianza vizuri ila sasa mpira unakuwa mwingi hadi unakuwa wa kurushwa.
LabdaNi akina Ben saa kenda
Usiishi kwa hisia, pata uhakika wa jambo kabla hujafanya makosa ya dhania mbayaWewe Pereira Ame Silima hebu uwachage ujinga.
Azory Gwanda,Ben Sa8 na wenzao.Unafikirisha!!!Kuwa na subira. Uhondo wote utaujua kesi hii ya ugaidi itakapoanza kuunguruma mahakama kuu mwezi Oktoba au Novemba 2021. Hao vijana walianza kutumikia kifungo chao watakuja mahakamani kama mashaidi wa upande wa mashitaka. Haya mambo hakuanza jana wala juzi. Yalitikisa huko Kibiti na Mkuranga yakilenga viongozi wa kisiasa mbali mbali, baadhi yao waliuawa. Vijana hao waliotekeleza ugaidi huo, kwa mateso yanayoyapata waliamua kuwataja mabosi wao waliokuwa wanawatumikia. Akili zenu ziwe zina connect the dots! Fumbo hufumbiwa mjinga. Mmepewa fumbo limewashinda kulifumbua. Mnataka mfumbuliwe, haiwezekani.
πππNami nakazia kuuliza ni akina waliohukumiwa jela kwa kesi ya ugaidi ambayo mh Mbowe kaunganishwa?
Ni kesi namba ngapi maana ni sharti ilisikilizwa mahakama kuu na kuhusisha mawakili wa pande zote mbili Jamhuri na utetezi?
Je, kwa kauli ya mh rais SSH kwenye jibu la swali kutoka kwa mwandishi wa BBC aliyempotosha ni nani?
Anawajua mwenyewe Samia, ss hatuwajui!!Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea.
Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.
Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
. Lini makamu wa rais akapigiwa kura?Please, respect our Head of State. Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili.
Kwanini mnapenda provocation?
Kudanganya na kusema uongo ni jambo lile lile. Katibu Chadema kaamuliwa ajibu tuhuma za kumwita rais mwongo. Hivi mtu anaesema jambo tofauti na ukweli huitwaje?Rais amedanganya kwa bahati mbaya wakati akijaribu kuwatetea Polisi.
usiwe kama huna akili bimkola walikuwa sita na mbowe wa saba watatu wakaachiwa ndiyo hukumu yao hiyo acha uchiziNamba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea.
Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.
Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
Akili anazo, hoja huenda ni namna anavyo zitumia.Hata angejiandaa ! Akili hana !
Unakumbuka utendaji wa remote mpya? Kila command inakubaliMh ajiamini asimame kwenye kuongoza otherwise atakuwa kama remote control.