Ni Apps gani za kupakua nzuri, best of the best huwezi kosa kwenye smartphone yako?

Ni Apps gani za kupakua nzuri, best of the best huwezi kosa kwenye smartphone yako?

Ina option ya ku download mkuu?? au ni ku stream tu
Ukilipia ndio una download. Bila hvo ni kustream tu. Ungejaribu kwanza Apple Music, sshv wana offer ya 3 months free kisha 6900 baada ya hapo kma unataka kuendelea
 
Ukilipia ndio una download. Bila hvo ni kustream tu. Ungejaribu kwanza Apple Music, sshv wana offer ya 3 months free kisha 6900 baada ya hapo kma unataka kuendelea
Mkuu nahis baadhi ya moded apks zinadownload.
 
Spotify mkuu nazungumzia. Banking details gani tena natumia tu
Lazima uingize details za card ya benki ambapo watakata malipo ya kila mwezi.

Sasa kama card yako sio ya benki ya nchi walizoruhusu spotify huwezi kuwa na account kwao.

Na huwezi kufanya registration bila wao kuverify kwanza card yako ya benki. Ikikubali tu, wanakupa go ahead ya kufanya registration.

Ikikataa ndo basi tena.
 
Lazima uingize details za card ya benki ambapo watakata malipo ya kila mwezi.

Sasa kama card yako sio ya benki ya nchi walizoruhusu spotify huwezi kuwa na account kwao.

Na huwezi kufanya registration bila wao kuverify kwanza card yako ya benki. Ikikubali tu, wanakupa go ahead ya kufanya registration.

Ikikataa ndo basi tena.
Sasa wewe ulifanikiwa vipi mkuu akati umenambia uko Tanzania?
 
-Videoder (since 2012) sijawah iacha
-Google Chrome (kwa files ndogo kama mp3)
-UC browser kwa file kubwa ambazo siyo magnet
-Vuze (torrents)
Hizi ni apps ambazo sijawahi ziacha.

Kwa games ni 8ball pool hii sitokuja kuiacha
 
Lazima uingize details za card ya benki ambapo watakata malipo ya kila mwezi.

Sasa kama card yako sio ya benki ya nchi walizoruhusu spotify huwezi kuwa na account kwao.

Na huwezi kufanya registration bila wao kuverify kwanza card yako ya benki. Ikikubali tu, wanakupa go ahead ya kufanya registration.

Ikikataa ndo basi tena.
Mkuu moded apk haina migogoro yote hiyo. Chief-Mkwawa naomba muongozo
 
Back
Top Bottom