Kwanza hizo nafasi 250 nyingi sana. Huu ni upendeleo mkubwa kwa zanzibar. Ukiangalia mlinganisho wa idadi ya watu bara na zanzibar inatakiwa zanzibar watengewe nafasi kama 24 tu.View attachment 1986349
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.
Kama mnavyojua, Kwenye ajira wazanzibar hupewa asilimia 21, kwa hio katika hizi nafasi 1,097 ni sawa na wazanzibari 230 tu,
230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo
Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
Sasa mkoa upewe ngapi? Hata hizo nyingi sanaView attachment 1986349
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.
Kama mnavyojua, Kwenye ajira wazanzibar hupewa asilimia 21, kwa hio katika hizi nafasi 1,097 ni sawa na wazanzibari 230 tu,
230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo
Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
Hao ni very few and exceptional hao hawakosekani tofauti na wao wanapopata faida nyingi na upendeleo tofauti na watanganyika and yet hu complain daily kuwa muungano umewamezaUsizungumze kitu huna uhakika nacho
Nna Ndugu zangu wengi Sana wanafanyakazi Zanzibar...tena serikalini kabisa
Wengine wametokea Iringa huko hata Dar hawaijui
[emoji23][emoji23][emoji23]kazi kutifuliwa marinda tuu hawana jipya. Ndicho kitu pekee wanachokijua basi.
Inaweza hata isiwe hyo new York ya Africa basi tu enzi hzo miungano ilikuwa influenced na mambo ya cold war Zaid and security purposes mengine hayana mashikoHuu muungano una siri kubwa, nyerere alishasaini mikataba...inshort siku tukiachana na Zanzibar kesho yake Oman wanatia kambi kuitawala na inakuwa New york ya East Afrika
Kwa kweli muungano wetu ni unique dunianiMuuungano au uchafu huuu
Hao ni very few and exceptional hao hawakosekani tofauti na wao wanapopata faida nyingi na upendeleo tofauti na watanganyika and yet hu complain daily kuwa muungano umewameza
Hoteli ni kazi ya kulinganisha na ajira za maana kama za TRAAsilimia 80 ya wafanyakazi wa mahoteli Zanzibar wanatoka Bara...
Hii unayosema very few umeitoa wapi?
TRA mi kazi ya maana kwa wengi maana inahuusisha madili na rushwa! Lakini kama ni mshahara tu ni kazi ya kawaida!Hoteli ni kazi ya kulinganisha na ajira za maana kama za TRA
Kazi ni kazi tu mkuu, tuchape kaziHoteli ni kazi ya kulinganisha na ajira za maana kama za TRA
Kero zake hazitaisha milele😂😂Kwa kweli muungano wetu ni unique duniani
Hotel kazi za darasa la saba mkuu, ni cheap labor hyo ka house girl tu, huwezi linganisha na wataalamuAsilimia 80 ya wafanyakazi wa mahoteli Zanzibar wanatoka Bara...
Hii unayosema very few umeitoa wapi?
Sure maana haueleweki hasa nini kipo hapo katikati huku watanganyika tuko isolated huku one side ikibenefit na ndio kinara wakulalamikaKero zake hazitaisha milele[emoji23][emoji23]
Yes ni kazi ya kawaida ila huwezi linganisha na uhotelier mkuu. Hyo kazi ni roho ya nchi kwenye kukusanya mapato ukiacha notion ya wapiga hela na rushwaTRA mi kazi ya maana kwa wengi maana inahuusisha madili na rushwa! Lakini kama ni mshahara tu ni kazi ya kawaida!
kiukweli ilibidi iwe 50 % pasu kwa pasu, hii 21 ya kinyonyaji, Ni haki ya kuwa na usawa kwa pande zote mbili kwenye muungano.Hotel kazi za darasa la saba mkuu, ni cheap labor hyo ka house girl tu, huwezi linganisha na wataalamu
Hotel kazi za darasa la saba mkuu, ni cheap labor hyo ka house girl tu, huwezi linganisha na wataalamu
Hotel kazi za darasa la saba mkuu, ni cheap labor hyo ka house girl tu, huwezi linganisha na wataalamu
Kwani si TRA wana kusanya Hadi Zanzibar?
Wavunje TRA isiwe ya Muungano
Wa Zanzibar wawe na TRA Yao..
Hapo ndo tuhoji why iajiri Wazanzibar?
Binafsi siku zote natamani Muungano ufe...
Wewe unahisi Zanzibar ndo inafaidika..
Wengine tunaamini Zanzibar ndo inafanywa masikini na huu Muungano