Ni asilimia 21 tu zitaenda kwa Wazanzibari katika Nafasi 1,097 za kazi kutoka TRA, marekebisho yanahitajika

cariha pitia point muhimu hii, itajibu maswali yako mengi
 
Yule shangazi yenu alivyokuwa TLC ni mtanganyika?
 
Acha ujinga si mna mamlaka yenu huko je ni wangapi wabara wanapata huko kwenye hiyo mamlaka yenu,pia inaonekana hesabu zimekupiga chenga, fanya uwiano wa idadi (population) ya wabara na wazanzibar je unataka ajira ziwe sawa kwa kulinganisha kijiji na wilaya, wakati kijiji kina watu 50 na wilaya ina watu zaidi ya laki tano halafu unataka ajia zifanane, mnabahati sana na utawala huu. Nyie si ndio hamtaki muungano lakini ajira mnazitaka halafu ni wavivu kazi kuamuka saa tano asubuhi
 
Tupe mfano wa mtanganyika anefanya Kazi ZRB?
Wapo kwenye idara zinazohusu Tanzania kama Tra, Polisi, atcl, n.k pia mahotelini wapo wengi

Idara zinazohusu zanzibar kama zff, zccb, n.k haziwahusu
 
Muungano si mnaupenda ehh? Kwanini mnachukia sasa 😂😂😂.
 
ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa MBONA HAINA KITI UN ASSEMBLY??? "MNAJIJAMBISHA NA KUSHTUKA WENYEWE" "ZANZIBAR NI SISIMIZI anayetamati kupiga hatua ya TEMBO" , Kamwe hawezi labda aamue kuruka kama anao ubavu.....ahaaaaa, ahaaaaaa
 
Nyerere alikuwa na akili sana kumeza Zanzibar alitumia vigezo vifuatavyo kwanza biashara huru kwa wanzanzibar bara ona walivyojazana bara Mila za kinzanzibari wametupilia mbali wanakula Hadi kitimoto na pombe

Cha pili akatumia Elimu ya juu kuwa jambo la muungano wanejazana vyuo vya bara Hadi hijabu hawavai Tena baada ya kuchanganyika wanavaa vikaptula watoto wa kike Mila za kinzanzibari Kwisha

Cha tatu ajira wanabebwa vijana wa kinzanzibari wanaajiriwa bara wanaharibikia huku kutokana na mchanganyiko na msikitini hawakanyagi Tena baada ya kushika ajira bara na ramadhani hawafungi wanaoa na kuolewa na Wala nguruwe wa bara mengine ongezeeni!!!

Hii inaitwa kumeza nchi ya mtu mwingine technically
Naunga mkono hoja wazanzibari wengi waajiriwe bara
 
ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa MBONA HAINA KITI UN ASSEMBLY??? "MNAJIJAMBISHA NA KUSHTUKA WENYEWE" "ZANZIBAR NI SISIMIZI anayetamati kupiga hatua ya TEMBO" , Kamwe hawezi labda aamue kuruka kama anao ubavu.....ahaaaaa, ahaaaaaa
Kukweli ni muungano wa kinyonyaji, hizi ajira 21% nmeona wengi wakilalamika kuna upendeleo kumbe ni upendeleo uliokaa kimpango zaidi, Yote kwa yote wacha vijana wajaze hizo ajira wapooze machungu kwa mishahara,
 
Mkuu ukinunua kitu Zanzibar ukija huku unatozwa upya Kodi so I don't see any logic behind, ka TRA ni moja why watenge nafasi flani ni watu flani wakati tunasema nchi ni moja hyo hyo.
 
Umedadavua vizuri kwelikweli
 
Mbona amepita mulemule ndio maana nasema huu muungano una favor one side zaidi
Zanzibar haina kiti UN, haina timu ya taifa kicheza makbe ya fifa, mikopo ya kimataifa haipati, n.k hizi ajira ni changa la macho tu kuwapooza watu wasahau ila bado zanzibar inaminywa
 
ka TRA ni moja why watenge nafasi flani ni watu flani wakati tunasema nchi ni moja hyo hyo.
Sio nchi moja, Ni muungano kwa hio Taasisi zote za Tanzania pande zote mbili zinahusika.

Jwtz, polisi, Usalama wa taifa, Tra, Bot, Bandarini, Nssf, Mahakama, airport, karibu taasisi zote tu Mzanzibari ana haki kupewa ajira tena kwa hizo asilimia 21.

Njoo urushiwe mbegu kama unaona tunafaidi na mwanao nae awe kwenye hizo 21% 😂😂
 
Kirefu cha ZRB ni nini ? Je m Tanganyika anawezaje kuajiriwa ZRB wakati sio M Zanzibar?

Na kirefu cha TRA ni nini? Je Mzanzibar sio m Tanzania?
Kirefu cha TLC ni nini na mbona fatima karume alikuwa TLC.

Hivi hujui kuwa ukikaa Zanzibar zaidi ya miaka 5 unatakiwa kupewa kitambulisho cha mkaazi; unajua maana yake ni nini?
 
Hivi ni watu wangapi wa bara wanautaka muungano?
Nadhani wanotaka muungano ni viongozi tu ila sisi raia kwa asilimia kubwa hata hatujali.
 
Kirefu cha TLC ni nini na mbona fatima karume alikuwa TLC.

Hivi hujui kuwa ukikaa Zanzibar zaidi ya miaka 5 unatakiwa kupewa kitambulisho cha mkaazi; unajua maana yake ni nini?
TLC sio ajira ya uma wala sio ajira ya kudumu. Ni kama chama cha wanataaluma fulani. Ndio maana nafasi aliyoipata bint karume ni ya kugombea. Sio ya kuomba kazi ama kuteuliwa na rais.

Kumbuka TLC sio shirika la uma

Ila ZRB sio chama bali ni taasisi inayomilikiwa na serikali ya Zanzibar. ZRB ni ajira ya uma. Lazima ilindwe kama taasisi za uma zingine.
 
Mama yetu kitu kikubwa alichofanya ni kuondoa neno la Wanyonge baaasii😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…