Ni bahati mbaya sana Viongozi "Think Tank' kama huyu Angetile Osiah aliyewahi kuwa Boss TFF hawatakiwi Tanzania

Ni bahati mbaya sana Viongozi "Think Tank' kama huyu Angetile Osiah aliyewahi kuwa Boss TFF hawatakiwi Tanzania

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nimeshangaa kusoma kwamba eti kiongozi wa klabu ya Biashara anasema anachojali “ni fedha tu za Udhamini wa GSM, na hayo mambo mengine hayawahusu”. Hicho ni kiwango kikubwa cha kutojua wajibu wake kama kiongozi wa klabu ya Ligi Kuu, haki za klabu hiyo na vyanzo vya mapato.
.
Kwa kiongozi kama huyo unaona dhahiri ni kwa sababu gani Biashara ilishindwa kwenda Libya kucheza mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho baada ya kushinda 2-0 nyumbani. Na unaona dhahiri sababu za timu hiyo kwenda kwa mbinde Djibout kucheza mechi ya Kombe la Shirikisho.
.
Hawa si aina ya viongozi wanaotakiwa kuongoza klabu za Ligi Kuu kama upeo wake wa masuala ya udhamini, uwazi na haki za klabu ni mdogo kiasi hicho. Lakini ni muhimu pia kwa Bodi ya Ligi kuanza kukuza chapa ya Ligi Kuu kama bidhaa yake kubwa badala ya kung’ang’ania mfumo wa zamani wa udhamini.
.
Haiwezekani Ligi Kuu ikawa na wadhamini wakuu wawili, mmoja akiwa amedandia gari wakati safari imeshaanza. Ni kituko kingine hicho.” - Angetile Osiah.

Chanzo: sportsarena_tz​

Nami KEROZENE nasema wana Yanga SC huyu Angetile Osiah (mwana Yanga SC Mwenzenu) alipokuwa akiinanga Simba SC mlikuwa mkishangilia mno Mitandaoni, hivyo na Leo nawaomba endeleeni Kumpenda na hasa Kumuunga mkono kwa haya Madini yake na Sindano hii Kali aliyoielekeza kwa Tajiri yenu mnayemlamba Miguu 24/7 Gharib Said Mohammed (GSM)
 
Nimeshangaa kusoma kwamba eti kiongozi wa klabu ya Biashara anasema anachojali “ni fedha tu za Udhamini wa GSM, na hayo mambo mengine hayawahusu”. Hicho ni kiwango kikubwa cha kutojua wajibu wake kama kiongozi wa klabu ya Ligi Kuu, haki za klabu hiyo na vyanzo vya mapato.
.
Kwa kiongozi kama huyo unaona dhahiri ni kwa sababu gani Biashara ilishindwa kwenda Libya kucheza mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho baada ya kushinda 2-0 nyumbani. Na unaona dhahiri sababu za timu hiyo kwenda kwa mbinde Djibout kucheza mechi ya Kombe la Shirikisho.
.
Hawa si aina ya viongozi wanaotakiwa kuongoza klabu za Ligi Kuu kama upeo wake wa masuala ya udhamini, uwazi na haki za klabu ni mdogo kiasi hicho. Lakini ni muhimu pia kwa Bodi ya Ligi kuanza kukuza chapa ya Ligi Kuu kama bidhaa yake kubwa badala ya kung’ang’ania mfumo wa zamani wa udhamini.
.
Haiwezekani Ligi Kuu ikawa na wadhamini wakuu wawili, mmoja akiwa amedandia gari wakati safari imeshaanza. Ni kituko kingine hicho.” - Angetile Osiah.

Chanzo: sportsarena_tz​

Nami KEROZENE nasema wana Yanga SC huyu Angetile Osiah (mwana Yanga SC Mwenzenu) alipokuwa akiinanga Simba SC mlikuwa mkishangilia mno Mitandaoni, hivyo na Leo nawaomba endeleeni Kumpenda na hasa Kumuunga mkono kwa haya Madini yake na Sindano hii Kali aliyoielekeza kwa Tajiri yenu mnayemlamba Miguu 24/7 Gharib Said Mohammed (GSM)
Ivi wale waliocheza na biashara wamefuzu makundi
 
Kama anachoangalia ni hela basi ndo maana Biashara ilishindwa kwenda Libya ,akaona heri isiende ,hawakuwa hata na plan b ,inaumiza sana Biashara iliyoifunga Al Ahly Tripoli ngoli mbili hawakuendelea ,Al Ahly Sasa hivi wameenda tena hatua nyingine wameingia makundi,ingekuwa ndo nafasi ya Biashara ,na hiyo hatua wangeingiza zaidi ya mil 600. Sasa huyo kiongozi anafaa kuwa hapo?kama siyo akili ya matope nini kiongozi hana vision ya mbali,hata hawakuwa na plan ya kuomba taasisi mbali mbali na serikali au hata wangeenda direct wizara ya michezo hata kumwomba rais ,basi hata harambee . Kiongozi mjinga sana
 
Back
Top Bottom