Ni balozi wa Nchi gani alifukuzwa Tanzania kwa sababu aliwajua waliomshambulia Lissu?

Ni balozi wa Nchi gani alifukuzwa Tanzania kwa sababu aliwajua waliomshambulia Lissu?

Huyo balozi ana vyombo vya uchunguzi au alikuwa na hisia zake kama bavicha?
Hawa huwa wanapewa na kubadiliahana taarifa za Kiintelijensia wakati wote, hata umbea umbea kutoka kwa watu wa juu, serikalini n.k huwa wanayafanyia kazi. Ndio intelligence gathering yenyewe

Taarifa ambazo amepata au alizokuwa nazo balozi huyo, sio lazima ziwe zimetoka bongo. Ikiwa ina maana taarifa hizo zimetokana na mipango iliyokuwa ikifanyika Ulaya?

Zinaweza kuwa taarifa za nje kuhusu watu waliokuwa wanataka kuchafua hali ya Nchi, ili kuichafua Serikali...
kwa kutumia advantage ya mazingira yaliyekuwepo nyakati hiyo...
...By [Non State Entities]Na upo uwezekano mkubwa kwamba taarifa hiyo wakapewa Serikali yetu au watu fulani waliokuwa wana uwezo wa kuyafikisha juu zaidi-wayafanyie uchambuzi na kutoa ripoti zenye mashiko i.e actionable intelligence. Kwa vyombo vingine, including baraza la Usalama...Yakujiuliza...

Nani alijua? huyo Balozi alijua? Mkuu wa Usalama? je alimtaarifu nani, yani nani mwingine alijua? hiyo ni juu yao- walijua wakaminya, walijua too late, inategemea nani angefaidika na taarifa hiyo kama nilivyogusia, kuitendea kazi.
Kwa mfano...
Fuatilia sakata la kuuwawa kwa Raisi wa Haiti na kundi la walkolombia ujiridhie

For now this is all speculative
 
Kwa bahati mbaya Mimi sio CCM lakini achanane siasa za matukio na kiki mahala sahihi kwa lisu kupeleka swala lake ni mahakamani uzuri ushahidi kashasema anao
Wewe ni CCM, Acha kukana chama chako Nina uzoefu wa kutosha wa kuwatambua CCM mitandaoni. Anyway unakumbuka kauli ya Boss wako Makonda kuhusu Mahakama zenu? Au unajizima data?
 
..kuna balozi zina majasusi hapa nchini.

..nakushauri ukasome taarifa za CIA kuhusu Tz zilizokuwa declassified utaelewa kuwa kuna watu wanatuchunguza.
Balozi zote za nchi zote duniani zina majasusi.

Ila sio kila wanachokisema ni kweli.

Wakati mwingine wanaweza kuzusha pia kwa nia zao wanazozijua wao.
 
Lisu mzee wa kiki kuliko siasa baada ya kutangaza sera na kuelezea mapungufu ya serikali ya awamu ya Tano yeye ameng'ang'ana na mambo ya mwaka 47.

Suala la umeme kwa Sasa lilopofikia linatosha kuiangusha serikali ya awamu ya sita hata Sasa achilia mbali uchaguzi wa mwakani
Na afiki.
Lissu ana hasira na makasiriko. kwa lugha nyepesi ni Frustration.

Hata mimi ninge kiamsha.

Wewe mkuu unasema umeme tu? Suala la bandari lilikuwa moto zaidi we acha tu.

Kwa mtazamo wangu, CCM waishukuru CHADEMA kwa kusuasua, na kuto kutoa ushirikiano kwa wakati kwa Sauti ya Watanganyika, nataka kusema ilikuwa kwa makusudi sababu za yale "Maridhiano ya nyuma ya Pazia"

Na mara nyingi tatizo linakuja nani ataweza kulinda interest za wenye interest. Usifikiri zile safari za mabalozini zilikuwa in vain.

Haijalishi.
CHADEMA lacks a cohesive message and a coherent policy ajenda.
 
Wewe ni CCM, Acha kukana chama chako Nina uzoefu wa kutosha wa kuwatambua CCM mitandaoni. Anyway unakumbuka kauli ya Boss wako Makonda kuhusu Mahakama zenu? Au unajizima data?

Na afiki.
Lissu ana hasira na makasiriko. kwa lugha nyepesi ni Frustration.

Hata mimi ninge kiamsha.

Wewe mkuu unasema umeme tu? Suala la bandari lilikuwa moto zaidi we acha tu.

Kwa mtazamo wangu, CCM waishukuru CHADEMA kwa kusuasua, na kuto kutoa ushirikiano kwa wakati kwa Sauti ya Watanganyika, nataka kusema ilikuwa kwa makusudi sababu za yale "Maridhiano ya nyuma ya Pazia"

Na mara nyingi tatizo linakuja nani ataweza kulinda interest za wenye interest. Usifikiri zile safari za mabalozini zilikuwa in vain.

Haijalishi.
CHADEMA lacks a cohesive message and a coherent policy ajenda.
Chadema sio sauti ya wananchi ni sauti ya mabwenyenye
 
Wewe ni CCM, Acha kukana chama chako Nina uzoefu wa kutosha wa kuwatambua CCM mitandaoni. Anyway unakumbuka kauli ya Boss wako Makonda kuhusu Mahakama zenu? Au unajizima data?
Lisu anataka kuyatoa maandamano ya chadema ya kudai katiba mpya kwenye reli anataka yeye ndo awe ajenda kwenye chama
 
Kweli lissu akili imechoka. Kila siku anataka, haojiwe lakin anaongea nonsense. Kama kuna ushahid Lissu ni mwanasheria afungue kesi mahakamani. Sasa, kila, siku porojo tu.
Mahakama inayoweza kuhukumu kesi ya tuhuma za mauaji za Makonda ni International Court at the HAGUE!
Mfungulieni file huko; badala ya kuwategemea askali wa Samia.
 
Nisiwe na porojo nyingi , nadhani wote mmemsikia Lissu akihojiwa kwenye kipindi cha ajenda

Naomba majibu
saa zingine ukiwa huna hoja bora kukaa kimya ni hekima zaidi 🐒

unadeka na kubwabwaja kama mtoto tu huku ukimshtakia hata asiehusika, halafu wakukubembeleza anakuhadaa tu,
nyamaza mwanangu mzuri nikimkamata tamchapa,
wewe ntakuchapa kwanini unampiga mtoto, usirudie tena kumpiga mwenzako halafu mtoto ananyamaza, na ndio imeisha iyo🐒

R.I.P laigwanani comrade ENL 🐒
 
Ni kweli hawawezi kuongelea suala hilo hadharani.

Lakini, T.L ameamsha dude(stirring up diplomatic waters) na yanaweza kusaidia uhusiano wetu au kuuharibu. Yote yatetegemea na uzito wa suala hilo.

Kuna Uzito.

Tuone bwana January ata respond vipi au EU wata respond vipi.

Balozi anaweza, sambamba na Mh. Waziri ku 'clarify or refute' Tione!
EU hawataongea sababu T.L hajataja kuwa ni balozi wa EU, Makamba atajibu kama alivyojibu Mahiga.
Anachofanya T.L ni kuivua nguo serikali huku akiwapa mwanga watu. Ili serikali ijitenge na hili itatakiwa iruhusu kifanyike kitu isichokitaka, Uchunguzi.
 
Back
Top Bottom