Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Sumry,Dsm- Kigoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119],ile kampuni bora hata waliachana na biashara ya usafirishaji. Ile ngoma nimepanda ile kukaa kwenye seat tu vumbi likatimuka kama lote[emoji23][emoji23][emoji23],dreva akawa analipasha pasha moto ile kujiandaa kutoka na kuita abiria waingie ndani eeehee asee vumbi ikaanza kutimka kila mahala,kwenye viti,vioo mpaka pale sehemu ya kuwekea mizigo,tulitoka Ubungo tumejaa vumbi tiyari[emoji119][emoji119][emoji119]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu habarini za mchana nipo kwenye bus la jmc natoka singida-Dar kimetokea kituko gari nzima hawana mbavu tulipitia hapo nala kula kihotel...

Fulani ivi konda katoa info kuwa kuchimba dawa
Na kula ni dakika 10 tu sasa kuna dada sijui aliingia kuny#[emoji16][emoji16] sijui ndo kujiremba sana dk10 kuisha dereva kaondoa mchuma tunafika hapa kisasa dom
Ofisi za jmc abiria walikuwa wanashuka kumbe yule
Dada kafkuzia na boda kafika sisi tumeshatoka..

Tunafika nanenane gari inashusha abiria mawakala..
Wa jmc wanapiga simu kuwa kuna abiria ameachwa
Kumbe kapanda na ndugu yake humu ndani siti moja
Dada kafkuzia hadi karibu na kibaigwa dereva kwa huruma kasimamisha kufika boda Anadai 20k dada anaambiwa atoe ela anasema hana adi afike dsm konda kalipa uyu dada kupanda eti anapandisha..
Majini kwa kuachwa na bus. Hii ya leo kali[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakuu habarini za mchana nipo kwenye bus la jmc natoka singida-Dar kimetokea kituko gari nzima hawana mbavu tulipitia hapo nala kula kihotel...

Fulani ivi konda katoa info kuwa kuchimba dawa
Na kula ni dakika 10 tu sasa kuna dada sijui aliingia kuny#[emoji16][emoji16] sijui ndo kujiremba sana dk10 kuisha dereva kaondoa mchuma tunafika hapa kisasa dom
Ofisi za jmc abiria walikuwa wanashuka kumbe yule
Dada kafkuzia na boda kafika sisi tumeshatoka..

Tunafika nanenane gari inashusha abiria mawakala..
Wa jmc wanapiga simu kuwa kuna abiria ameachwa
Kumbe kapanda na ndugu yake humu ndani siti moja
Dada kafkuzia hadi karibu na kibaigwa dereva kwa huruma kasimamisha kufika boda Anadai 20k dada anaambiwa atoe ela anasema hana adi afike dsm konda kalipa uyu dada kupanda eti anapandisha..
Majini kwa kuachwa na bus. Hii ya leo kali[emoji16][emoji16][emoji16]
Vizuri sana asee Tumetaga na Happy nation Gairo saa moja sasa ivi .
 
Furahisha ya kahama, nilikata tiketi wakaniambia inaenda Mwanza imefika siku ya safari gari haiindoko ubungo mpaka saa moja katika abiria kulalamika ndio tukajua humo ndani kuna abiria wa mwanza, kahama, bukoba, kagera, kigoma, dodoma, geita, na mmoja alikuwa anaenda nje nimesahau ni burundi au. Ile safari mpaka nimekuja kufika mwanza siku ya 2 yake sina hamu maana walikataa kutufaulisha magari mengine wakakataa na kurudisha nauli. Mwisho wa siku wote tukaenda kuachwa kahama saa 10 usiku ndio kila mtu atafute gari la kwenda anapoenda.
 
Furahisha ya kahama, nilikata tiketi wakaniambia inaenda Mwanza imefika siku ya safari gari haiindoko ubungo mpaka saa moja katika abiria kulalamika ndio tukajua humo ndani kuna abiria wa mwanza, kahama, bukoba, kagera, kigoma, dodoma, geita, na mmoja alikuwa anaenda nje nimesahau ni burundi au. Ile safari mpaka nimekuja kufika mwanza siku ya 2 yake sina hamu maana walikataa kutufaulisha magari mengine wakakataa na kurudisha nauli. Mwisho wa siku wote tukaenda kuachwa kahama saa 10 usiku ndio kila mtu atafute gari la kwenda anapoenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373]

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Furahisha ya kahama, nilikata tiketi wakaniambia inaenda Mwanza imefika siku ya safari gari haiindoko ubungo mpaka saa moja katika abiria kulalamika ndio tukajua humo ndani kuna abiria wa mwanza, kahama, bukoba, kagera, kigoma, dodoma, geita, na mmoja alikuwa anaenda nje nimesahau ni burundi au. Ile safari mpaka nimekuja kufika mwanza siku ya 2 yake sina hamu maana walikataa kutufaulisha magari mengine wakakataa na kurudisha nauli. Mwisho wa siku wote tukaenda kuachwa kahama saa 10 usiku ndio kila mtu atafute gari la kwenda anapoenda.
Hilo ata mbinguni linaenda
 
Furahisha ya kahama, nilikata tiketi wakaniambia inaenda Mwanza imefika siku ya safari gari haiindoko ubungo mpaka saa moja katika abiria kulalamika ndio tukajua humo ndani kuna abiria wa mwanza, kahama, bukoba, kagera, kigoma, dodoma, geita, na mmoja alikuwa anaenda nje nimesahau ni burundi au. Ile safari mpaka nimekuja kufika mwanza siku ya 2 yake sina hamu maana walikataa kutufaulisha magari mengine wakakataa na kurudisha nauli. Mwisho wa siku wote tukaenda kuachwa kahama saa 10 usiku ndio kila mtu atafute gari la kwenda anapoenda.
[emoji1][emoji1][emoji1] noma Sana aisee
 
Kuna gari zinaitwa bibi na bwana (Mtei na Kimotco) hizo zinakokotana kidogo kidogo mpaka mfike umepata sugu za makalio

Kuna gari inaitwa farasi au gari ya vijana (Coast Line) hiyo ni moto wa kuotea mbali. Kwenye utani mzee mmoja anasema alipanda ile anahangaika kutafuta siti amepata anasema akae anasikia mzee shuka umeshafika. Siku nyingine tena anasema alipewa zawadi ya kuku kwa bahati mbaya akatoa mkono nje kwenye kioo akiwa ameshika yule kuku gari ikiwa kwenye mwendo basi kufika kwake hakukuwa tena na haja ya kumnyonyoa yule kuku... hata hivyo mzee yule kwa sasa ni marehemu, Mungu amlaze mahala pema
Mzee wa chumvi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Happy nation ya mbeya jamani yani mnafika makambako saa 3 kuelekea 4 usiku dah
Tatzo watu wanakua na vichwa vigumu,mtu huwezi kuwa mbabe wa route zote,mbeya tunduma panda sauli au newforce,bukoba panda Happy nenga tena sasa iv wana chuma mpya inaitwa mlete mzungu[emoji1787],moshi arusha kuna Blasto makundi,mwanza kuna allys lkn pia ujue kuchagua chuma za mbele
 
Nilianza kupanda Asante Rabi mwaka 2018 baada ya kuwakimbia Mghamba Express, mghamba wana basi Lao lenye mlango katikati lilikuwa bovu sana.
Nikahamia Asante Rabi, kwa kweli hii kampuni kwenye customer care wanajitahidi kwa uzoefu wangu; Wanajitahidi kwenda na muda, Wana app kwenye simu ya kuchagua siti na kulipia sio lazima kwenda ofisini. Imagine nilikuwa nalipanda kila baada ya wiki tatu go and return kwa miaka 4.
Wewe n premium member
 
Wakuu habarini za mchana nipo kwenye bus la jmc natoka singida-Dar kimetokea kituko gari nzima hawana mbavu tulipitia hapo nala kula kihotel...

Fulani ivi konda katoa info kuwa kuchimba dawa
Na kula ni dakika 10 tu sasa kuna dada sijui aliingia kuny#[emoji16][emoji16] sijui ndo kujiremba sana dk10 kuisha dereva kaondoa mchuma tunafika hapa kisasa dom
Ofisi za jmc abiria walikuwa wanashuka kumbe yule
Dada kafkuzia na boda kafika sisi tumeshatoka..

Tunafika nanenane gari inashusha abiria mawakala..
Wa jmc wanapiga simu kuwa kuna abiria ameachwa
Kumbe kapanda na ndugu yake humu ndani siti moja
Dada kafkuzia hadi karibu na kibaigwa dereva kwa huruma kasimamisha kufika boda Anadai 20k dada anaambiwa atoe ela anasema hana adi afike dsm konda kalipa uyu dada kupanda eti anapandisha..
Majini kwa kuachwa na bus. Hii ya leo kali[emoji16][emoji16][emoji16]
Anazuga huyo hana hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijaelewa mwaka 1990 hii au??
KAMATA(kampuni ya mabasi ya taifa)kama ulizaliwa kuanzia 91 huwezi lijua mkuu their challenger was Tanzania railway corporation(road service)enzi za Leyland clydesdale(CD),leyland victory baadae wakaleta TATA na huo ndio ukawa mwisho wao NB Railway wao waliishia kwenye CD japo wamewahi kuwa na scania(LBT 111) kwa uchache.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna basi lilikua linaitwa Ng'itu km sijakosea, Dar to Mtwara, nilipanda kitambo Kuna kipande kikubwa hakikuwa na lami, dereva alikuwa anaendesha kama ana sedan, mdogo mdogo hatari, kulikuwa na basic silijui jina rangi ya kijani lilitupa utafikiti dereva yupo kwenye lami. Mbele tukalikuta puncture jamaa Wana change tairi tukawapita, ebana mara jamaa hao wakatupita Tena kama tulisomama.

Safari ilikuwa ndefu nlijuta kupanda, Babu yangu Tanga ndio Ali recommend tupande Hilo mana ndio salama
 
Kuna basi lilikua linaitwa Ng'itu km sijakosea, Dar to Mtwara, nilipanda kitambo Kuna kipande kikubwa hakikuwa na lami, dereva alikuwa anaendesha kama ana sedan, mdogo mdogo hatari, kulikuwa na basic silijui jina rangi ya kijani lilitupa utafikiti dereva yupo kwenye lami. Mbele tukalikuta puncture jamaa Wana change tairi tukawapita, ebana mara jamaa hao wakatupita Tena kama tulisomama.

Safari ilikuwa ndefu nlijuta kupanda, Babu yangu Tanga ndio Ali recommend tupande Hilo mana ndio salama
[emoji38][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom