Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
nenda ukamuone mkuu na anavyojisikia utachefukwaWanafanya hivyo ili ulipie zaidi.
Ila kwanini sura kama jembe lakini🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda ukamuone mkuu na anavyojisikia utachefukwaWanafanya hivyo ili ulipie zaidi.
Ila kwanini sura kama jembe lakini🤣🤣🤣
[emoji23][emoji81][emoji119][emoji119] nyiee hapana aiseeMatundulu Express la Dar - Katoro linakutu inatudondokea abiria kutoka darini....yani unatoka ubungo kufika kimara tu kutu imeshajaa kwenye mfuko wa shati, unamwaga na kuendelea na safari. Sitalisahau
Mifumo ya usafilishaji ni aibu bado sana bongo matapeli wwngi mnoilikwenda bure mzee maana hiyo lipa number huwezi hata kureverse transaction...lakini bado nakumbuka lipa number ya mabasi ya abc ni ya somebody ngairo. ni mfumo wa kitapeli tu
Kuna mabasi ya aina tofauti kutegemea umri yako ya vijana huenda spidi ya mwewe yako ya watu wa makamo na wazeeHappy nation, jamani lile gari siti ndefu ukikaa huwezi kunyoosha miguu kabisa, alafu bovu ,linanyata , Dar to Mbeya tulifika saa tano usiku, Ila Rungwe ndo balaa, Dar to mbeya tulifika saa sita usiku.
🤣Matundulu Express la Dar - Katoro linakutu inatudondokea abiria kutoka darini....yani unatoka ubungo kufika kimara tu kutu imeshajaa kwenye mfuko wa shati, unamwaga na kuendelea na safari. Sitalisahau
Mifumo ya usafilishaji ni aibu bado sana bongo matapeli wwngi mno
Uuuuwi weweeee!are u serious?Mbeya ndio nyumban my dear...nimetoka huko kama week hivi.
Pole sana unatumia dawa yoyote?
😂😂 Mbona umeshtuka?Uuuuwi weweeee!are u serious?
Muda mrefu sana now kafulia ayupoHili bus sindo yale ya nembo ya eagle meupe bado yapo kweli enzi izo 2004 sijawahi kuyaona tena
Ndio Hilo Hilo but [emoji23][emoji23]Hii hood ndo niliikuta mimi walivotoka hapa ndo wakahamia kwenye marcopolo hizi new modelView attachment 2329219
[emoji23][emoji23][emoji23]Nacheka kama mazuriNiliwahi kupanda Bus moja lilikuwa linaitwa Buffalo hili lilikuwa lina kwenda kama sio Arusha ilikuwa Moshi maana nilipandia Dar kwa kushukia Hedaru,lile basi lilikuwa linakimbia ajabu na ukichukulia miaka ile kulikuwa hakuna speed govenor ilikuwa ni hatari,nakumbuka kwenye makona lilikuwa linalala mpaka unasikia kama kuna bolt na nuts zinakatika,kufika maeneo ya Mombo ile basi likaacha njia tukaingia kwenye mashamba ya katani,bahati yetu lile eneo lilikuwa ni tambarare hakuna aliyepatwa na umauti zaidi ya majeraha madogo madogo...
Mlikua mnakuja kwa reverse nnDah...... KAMATA..... Sumbawanga to Dar....safari ilichukua siku 6 [emoji2960]
Inakera hiyo!!! Niliona kwenye BMShabiby.
Njiani wakaweka movies za kutafsiri kwa kiswahili. Za wahindi au wachina halafu kuna mtu anakutafsiria.
Sijapanda tena mpaka leo.
Another G kafuliaKuna basi linaitwa respect
Ezi hizo mbeya to arusha
Sharon sasa ivi dar to arusha
Another G FROM ddm to njombee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dereva ashakula vyake utamwambia nnHatari sana. Halafu mkimwambia dereva apunguze mwendo anajibu, "kama hamna haraka mimi nina haraka, shuka utembee".
Saa tano dom nilikuwa nalielewa sanaKuna basi lilikuwa linaitwa champion Dom-Dar, niliapa sitokaa nilipande teeena sio kwa mwendo ule. Na mghamba Mwanza-Arusha [emoji119][emoji119][emoji119]
HamnaKipindi hicho hata speed gavana hamna[emoji81]