Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha duh mtoto Gema kitambo sana, nimekumbuka mbali sana mkuu.Kuna basi jina MTOTO GEMA!!
DODOMA -TABORA, hizi gari sio mbovu, shida Zina mwendo sana , mwendo kasi sana kama una presha sikushauri kupanda,!!
Nasijui kama Bado yapo maana ni muda mrefu na Sasa situmiii usafiri wa uma.
Msukuma wa Geita.Dodoma iyo naskia mmiliki wa frester ni mtu wa bukoba.
Humwambii kitu, njia nzima anavuta sigara sijui ndio bangi🙆🙆[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dereva ashakula vyake utamwambia nn
2010 hiyo sitokaa nisahau! Nilifika nyumbani hawakuamini wakahisi nilikuwa around tu nikawa nawadanganya niko Dodoma🤣Saa tano dom nilikuwa nalielewa sana
N mtu na mkewe hao,baba fred,mama esterDodoma iyo naskia mmiliki wa frester ni mtu wa bukoba.
MangiDodoma iyo naskia mmiliki wa frester ni mtu wa bukoba.
😂😂😂😂 Khaa! hatari. Na vitambaa juu hahaaNdo iyo iyo [emoji81][emoji23][emoji23] ndani mavitambaaa kama yote yani unapanda basi kama upo seblen au chumbani
Siku 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hehe manake kwanza ncheke,
kuna jamaa angu alikua hapo tabora mm niko dar kuna mzigo anatakiwa aupate ndan ya masaa machache,kufika mbezi salange akanambia hii gari ya kigoma ndo nzuri tabora mapema sana,,,
Nikampa dereva 10k nkachukua namba yake ya simu mm huyoo maskan,,,,inafika saa 12 napiga sm haipatkan hakuna siku nilimaindiwa kama siku hiyo,,
Baada ya siku 2 ndo gari inapita tabora [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahah labda ndio kaamua kufanya 'specialization',mwezi uliopita naona amevuta bus nyingine mpya Kama 5 hivi.Jamaa basi zake kama zote zinakwenda kanda ya ziwa