Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,460
- 2,908
Serious man,yaan nmeshapakia mzigo mwngne umepelekwa na Al saedy umepokelewa ndio wangese wanapitaSiku 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serious man,yaan nmeshapakia mzigo mwngne umepelekwa na Al saedy umepokelewa ndio wangese wanapitaSiku 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni mangiMbona wengine wanasema msukuma mkuu
Uongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah....January 14, 1974 tulianza safari saa 12 asubuhi tukafika January 19 saa 5 usiku [emoji2960]
😂😂😂Buti la Zungu Dar-Mtwara Basi limegawanywa nusu kwa ceiling board eti VIP ushuzi mtupu .Ila Mtwara ntarudi .
Kule kuna wenyeweIla saiv anaingia hadi nyanda za juu kusini watu wanapaogopa nyanda za juu kusini sababu ya vilima uku ni show show.
😂Tawfiq na dereva wake tyson miaka hiyo singida-dom barabara vumbi.
Jama alikua anapiga gia ile bus sijawahi ona.
Pale saranda kuna siku alilishusha full force unaambiwa kukaribia kumaliza mteremko bus likachotwa na michanga tukaza nalo porini.
Sukuma mpk litoke masaa tukaanza tena maspidi.
Mpaka nafika Dom home sikai nikatulia kwenye kiti nikikaa nadunda dunda au kurukaruka na kuyumba kama nilivyokua ndani ya bus
Aaha balaa hilooDah....January 14, 1974 tulianza safari saa 12 asubuhi tukafika January 19 saa 5 usiku [emoji2960]
😂 Huu uzi unachekeshaHehe manake kwanza ncheke,
kuna jamaa angu alikua hapo tabora mm niko dar kuna mzigo anatakiwa aupate ndan ya masaa machache,kufika mbezi salange akanambia hii gari ya kigoma ndo nzuri tabora mapema sana,,,
Nikampa dereva 10k nkachukua namba yake ya simu mm huyoo maskan,,,,inafika saa 12 napiga sm haipatkan hakuna siku nilimaindiwa kama siku hiyo,,
Baada ya siku 2 ndo gari inapita tabora [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena walikua wanashindana na KandaharIv humu kuna mtu alishawah kuvamia kisbo ile kangi lugola[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kipindi iko on fire
Driver alipigwaa au???Nyingne natoka Mwanza narudi Dar mwaka 2016 nilikata ticket gari inaitwa Happy Nation lakn kesho yake tukapandshwa gari nyingne tukasema fresh tu kikubwa kufika
Tulivyofika Shinyanga alafu maporini sasa Turbo ikazingua ikabidi tuwaulize driver na wenzake, wakasema hii ngoma inabidi ifatwe Mwanza au Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mwamba mmoja akasema ikifika saa 8 mchana bado gari haiko sawa kitaeleweka, Saa 8 ikafika nilijua utani Driver alichakazwa aisee na sijui walifanyaje ila Turbo ilifika na Dar tulifika saa 2 asubuh
Ivi kisbo sindo ili gali kipindi cha nyuma walikuwaga wakikutana salamu yao wanapishana wakulia anahamia kushoto kushoto anahamia kulia sasa siku moja akatokea alikuwa dereva ni mgeni hajui salamu za wenzie.Tena walikua wanashindana na Kandahar
[emoji38][emoji23][emoji81]Nyehunge natoka Mwanza naenda Moro gari ikapasuka tyre n ugonjwa mwingine ukatokea tena maeneo ya misungwi[emoji23][emoji23]
Mpaka kuja gari nyingne ilifika saa 4 kasoro tulifika moro saa 6 usiku kama tunaenda Dar
[emoji81][emoji23][emoji38] uyo jamaa alikuwa poti niniNyingne natoka Mwanza narudi Dar mwaka 2016 nilikata ticket gari inaitwa Happy Nation lakn kesho yake tukapandshwa gari nyingne tukasema fresh tu kikubwa kufika
Tulivyofika Shinyanga alafu maporini sasa Turbo ikazingua ikabidi tuwaulize driver na wenzake, wakasema hii ngoma inabidi ifatwe Mwanza au Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mwamba mmoja akasema ikifika saa 8 mchana bado gari haiko sawa kitaeleweka, Saa 8 ikafika nilijua utani Driver alichakazwa aisee na sijui walifanyaje ila Turbo ilifika na Dar tulifika saa 2 asubuh