rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Sijaelewa mwaka 1990 hii au??Dah...... KAMATA..... Sumbawanga to Dar....safari ilichukua siku 6 [emoji2960]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa mwaka 1990 hii au??Dah...... KAMATA..... Sumbawanga to Dar....safari ilichukua siku 6 [emoji2960]
Dah....January 14, 1974 tulianza safari saa 12 asubuhi tukafika January 19 saa 5 usiku 🤭Sijaelewa mwaka 1990 hii au??
Sana aisee, ilikuwa ukilikosa hilo unapanda Yarabi Salama, ndo zilikuwa za kwanzaYalikuwa yanaamsha si kawaida
Hatari sana kuna jingine nilirudi nalo linaitwa Manning kama sijakosea lile ni chombo Redondo.[emoji23][emoji81][emoji23] sindo wanasema ni pride of mtwara iyo
Ukawaacha? Kwangu wangeitapikailikwenda bure mzee maana hiyo lipa number huwezi hata kureverse transaction...lakini bado nakumbuka lipa number ya mabasi ya abc ni ya somebody ngairo. ni mfumo wa kitapeli tu
niliamua kuiacha tu 25,000 maana huyo meneja wa abc pale dodoma (mwanamke) niliona IQ yake ndogo sana.Ukawaacha? Kwangu wangeitapika
[emoji23][emoji1787][emoji81][emoji119][emoji119]Tawfiq na dereva wake tyson miaka hiyo singida-dom barabara vumbi.
Jama alikua anapiga gia ile bus sijawahi ona.
Pale saranda kuna siku alilishusha full force unaambiwa kukaribia kumaliza mteremko bus likachotwa na michanga tukaza nalo porini.
Sukuma mpk litoke masaa tukaanza tena maspidi.
Mpaka nafika Dom home sikai nikatulia kwenye kiti nikikaa nadunda dunda au kurukaruka na kuyumba kama nilivyokua ndani ya bus
abc anakula singida dar., Kanda ya ziwa wapo kina Allys , kisbo, kidia, na wengine wengineAbc ni wa kanda ya ziwa tu sindio
😁😁uko tuwaachie marisk taker tu mzee .. tupambambane hapahapa kati. Mwanza dar, khm-dar. Bkb-dar.Ila saiv anaingia hadi nyanda za juu kusini watu wanapaogopa nyanda za juu kusini sababu ya vilima uku ni show show.
Nakumbuka nyuma walikuwa wameandika"ABUI ADEKA!" [emoji23]Hahaha duh mtoto Gema kitambo sana, nimekumbuka mbali sana mkuu.
Ni asia star mpya usajili Txxx DU!Hahah labda ndio kaamua kufanya 'specialization',mwezi uliopita naona amevuta bus nyingine mpya Kama 5 hivi.
Sijawah,ila ana bus mpya sijajua kuhusu hudumaYaaa ivi kuna mtu alishawahi kupanda nacharo humu huduma zao zipoje