luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wadau naomba kuulizia ni kampuni gan nzuri ya mabasi toka DSM to SHINYANGA na Nauli zao inakuwaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran niliwachek ally's starNafikiri uchukue frester au tanzanite ama kisbo yanayoenda kahama na ally's star IPO inayo fika mpaka shinyanga.
Kwann..jamaa wana kimbia sana ile njia kuna ajali ilitokea gairo ya hili kampuniUmepata mkuu
Ni mchagaMbona wengine wanasema msukuma mkuu
Nafikiri uchukue frester au tanzanite ama kisbo yanayoenda kahama na ally's star IPO inayo fika mpaka shinyanga.
Ally's ya shinyanga niliwahi kuipanda nkajuta
City BoysIvi kisbo sindo ili gali kipindi cha nyuma walikuwaga wakikutana salamu yao wanapishana wakulia anahamia kushoto kushoto anahamia kulia sasa siku moja akatokea alikuwa dereva ni mgeni hajui salamu za wenzie.
Jamaa kukalibiana dereva mzoefu akampigia..
Pass wapishane kama salamu yao ilivo kawaida yule dereva mgeni akaludisha pass akajua anasalimiwa maana kampuni ni moja kusalimiana muhimu sasa maana ya pass kwao ilikuwa wanamaanisha wa exchange njiaa dereva mzoefu akalileta kama kawa jamaa walikutana uso kwa uso babaaake jina la hii kampuni zamani sijui lilikuwa linaitwaje baada ya kukaa mda mrefu ndo wakabadili usajili wa jina wakaja na hii kisbo.
Allys star unafika mapema sana, kwa sasa nauli yao sijui maana nauli zimepanda. Hapo kabla ilikuwa 35Wadau naomba kuulizia ni kampuni gan nzuri ya mabasi toka DSM to SHINYANGA na Nauli zao inakuwaje ?
Itakuwa ulipanda zamani, kwa sasa wana magari mapya na ndio yanabamba hiyo route ya shy dar manake wanaanzia safari shinyanga.Ally's ya shinyanga niliwahi kuipanda nkajuta
Mabasi mawili tofauti ila safari Moja, abiria mmoja na arrival time tofauti?!Happy nation, jamani lile gari siti ndefu ukikaa huwezi kunyoosha miguu kabisa, alafu bovu ,linanyata , Dar to Mbeya tulifika saa tano usiku, Ila Rungwe ndo balaa, Dar to mbeya tulifika saa sita usiku.
Ajali ya Air Msae na Dar Express dahAir Msae enzi hizo, Arusha - Dar
Tulipofika tu Moshi stendi pale, safari ikaingia kutu maana gari ikaanza mwaga oil kama mtu anayetapika...
Huku na kule injini ikashushwa na mchezo ukaishia hapo...
Super Najumnisa