Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mtazamo wangu NMB iko poa SanaNaomba msaada kuhusu ni benki nzuri inayotoa huduma kiurahisi kati ya Nmb na Crdb naaamanisha kuwahi kutoa pesa mapema ya mshahara
Angia mwajiri wako anatumia benki ipi, nawe nenda huko hukoNaomba msaada kuhusu ni benki nzuri inayotoa huduma kiurahisi kati ya Nmb na Crdb naaamanisha kuwahi kutoa pesa mapema ya mshahara
Crdb jaamaa kama hutaki keroNaomba msaada kuhusu ni benki nzuri inayotoa huduma kiurahisi kati ya Nmb na Crdb naaamanisha kuwahi kutoa pesa mapema ya mshahara
Duuh!! Hivyo unataka mshahara ukitoka tu uwe wa mwanzo mwanzo kupata. Teh.Naomba msaada kuhusu ni benki nzuri inayotoa huduma kiurahisi kati ya Nmb na Crdb naaamanisha kuwahi kutoa pesa mapema ya mshahara
Jiongeze. Kwanini hamna foleni maana yake kuna tatizoCRDB ndo benki bora, haina foleni na mikopo yao masharti nafuu.
nipo na crdb miaka 10 sasa... makato mengi yapo relatively the same. wakizidi ni sh 150
CRDB ni wapumbavu Sana.Achana na crdb...WAMEBAKI WAHUNI TU...NENDA NMB WAKO POA KWA SASA..
Achana na CRDB, utanishukuru baadaeWhat about Crdb
Hapa natofautiana na wewe. CRDB haifai tena, inarudi nyuma na nadhani wana muda sasa wameanza kupiga roba za mbao.CRDB ndo benki bora, haina foleni na mikopo yao masharti nafuu.
nipo na crdb miaka 10 sasa... makato mengi yapo relatively the same. wakizidi ni sh 150