Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuambia anafanya kazi seikaini?Mishara ya serikali inalpwa kupitia hazina? Au wamebadili siku hizi?
NMB ni wazuri kwa sababu tu wana matawi nchi nzima na wilaya zote,ila hawa jamaa wana wizi wa siri siri mnoo,vi buku 10,10 kupotea kwenye akaunti ni kawaida san.Naomba msaada kuhusu ni benki nzuri inayotoa huduma kiurahisi kati ya Nmb na Crdb naaamanisha kuwahi kutoa pesa mapema ya mshahara
Wewe nenda tu huko CRDB! Ila baadae usije tena kulalamikia makato yasiyo eleweka kwenye hiyo akaunti yako. NMB ina unafuu sana ukilinganisha na hiyo CRDB.Anatumia nmb lakini mishahara inalipwa na hazina?
Zote miuuNaomba msaada kuhusu ni benki nzuri inayotoa huduma kiurahisi kati ya Nmb na Crdb naaamanisha kuwahi kutoa pesa mapema ya mshahara
CRDB wana makato yaliyoshiba, tumia NMB
CRDB hamna kitu siku hiziWhat about Crdb
Makato yao ni makubwa sana kupitilizaMsaada hapa, fafanua ndugu.