min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Nafikiri wanafanya biashara ya pesa kwa kubadilishna na Vito vya thamani.Makampuni yanayochapisha pesa/hela...MINT.
Mana si wangejichapishia fedha wao wenyewe tu.,mana wana miundombinu yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri wanafanya biashara ya pesa kwa kubadilishna na Vito vya thamani.Makampuni yanayochapisha pesa/hela...MINT.
Mana si wangejichapishia fedha wao wenyewe tu.,mana wana miundombinu yote.
AahaaaaHao watu huwa nashangaa sana. Kuna mtu anauza papuchi mtaani kwa bei ya 7000 mpaka 15000 lakini anakaa kwao na shida haziishi. Kuna muda siku za marejesho anahaha hadi kuanza kuweka bond vitu vyake.
Makes senseNafikiri wanafanya biashara ya pesa kwa kubadilishna na Vito vya dhaman.
Biashara za FRAME za barabara ya SHEKILANGO maeneo ya Sinza. Sijawahi kuona wateja wakiingia wala kutoka kwenye yale madukaFunguka huenda ukapewa miongozo na wakuu hapa JamiiForums.
Kwahyo TANESCO na DAWASCO wanatupigaga changa la macho...😇🤗Biashara yeyote haikosi faida.
Wakichapisha pesa na kuziingiza katika mzunguko pia ni utakatishaj pesa kwasababu zinakuwa zmeingizwa kinyemelaHizo si pesa za mwizi,madawa na Ufisadi zinaingiziwa kwenye biashara halali kuzugia tu....
Inaonekana hujui maana ya hili neno.Utakatishaj pesa
Hii imenichekesha kiasiJapo mwenyewe nafanya biashara ya uwakala lakini sioni faida najiuliza wenzangu wanapataje faida 😀😀😀 vicommission vidogo dogo aijui sh 20, 30...
Money laundering is what they do!Maduka ya IPhone pale Makumbusho...
mama
Pale Frame ni gharama ,maduka yapo mengi sana, matumizi yao binafsi, matumizi ya ofisi....halafu nikiangalia mtaani Techno,Infinix na Samsung ndiyo nyingi.
Mtandao ya kijamiiFunguka huenda ukapewa miongozo na wakuu hapa JamiiForums.
Mkuu kwa hizo faida ndogo ndogo, kodi tu ya frame sijui itarudi vipi 😀Hii imenichekesha kiasi
Biashara nyingi faida ni ndogo sana wengi wanatumia kama back up ila wana mishe zao nyingine k.v ajiraMkuu kwa hizo faida ndogo ndogo, kodi tu ya frame sijui itarudi vipi 😀
Wakikujibu nitag mkuuHawa jamii forum wanaingizaje pesa