Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ubuyu upi, ubuyu wa kula au ubuyu umbea 😁Biashara ya ubuyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubuyu upi, ubuyu wa kula au ubuyu umbea 😁Biashara ya ubuyu.
Kama anatoa mzigo mwingi kwa wakati mmoja inalipa hasa kwa walio kariakoo !Duka la vyupi, duka la jumla ye ananunua elf 9 anauza elf 10...means faida buku.
Kodi laki na nusu kwa mwezi, muuzaji mshahara laki na nusu bado kula nauli. 🤔
Jamiiforums ni kama Shirika lisilo la kiserikali hivyo linasaidia kukuza demokrasia hivyo wana wafadhiliHawa jamii forum wanaingizaje pesa
Hela inaishia kwenye nguo,urembo na chakula, kula sn muhimu maana kukatikia mitwangio mingi afu size tofauti lazima ule vizuri ushibeHao watu huwa nashangaa sana. Kuna mtu anauza papuchi mtaani kwa bei ya 7000 mpaka 15000 lakini anakaa kwao na shida haziishi. Kuna muda siku za marejesho anahaha hadi kuanza kuweka bond vitu vyake.
Hii kitu ilikuwa inanichanganya sana kichwa. Nilikuwa sielewi wenye maduka wanaendeshaje maisha kwa biashara ya rejareja10% ya mauzo ndio faida, ukiuza Kwa siku laki Moja, faida Yako ni elfu 10. Kwahio yakupasa ule Kiasi kisichozid elfu 4, ili elfu 6 ibaki kuongeza mtaji.
SawaInaonekana hujui maana ya hili neno.
Mkuu uyo mtu yuko maeneo gani tumsaidieHao watu huwa nashangaa sana. Kuna mtu anauza papuchi mtaani kwa bei ya 7000 mpaka 15000 lakini anakaa kwao na shida haziishi. Kuna muda siku za marejesho anahaha hadi kuanza kuweka bond vitu vyake.
Hili swali kila niliyemuuliza hajawahi kunipa majibu nikaridhika.Makampuni yanayochapisha pesa/hela...MINT.
Mana si wangejichapishia fedha wao wenyewe tu.,mana wana miundombinu yote.
Shida wateja wake sio wa kila siku. Kuna siku moja unapata order mbili hadi tatu na unaweza ukakaa wiki nzima Wana hawakuiti.Hao watu huwa nashangaa sana. Kuna mtu anauza papuchi mtaani kwa bei ya 7000 mpaka 15000 lakini anakaa kwao na shida haziishi. Kuna muda siku za marejesho anahaha hadi kuanza kuweka bond vitu vyake.
Humu ndani JFs tukiuliza nani ameshanunua Nyimbo ya Diamondi akalipia huenda hawazidi hata 10 au wakawa wawili tu.Wasanii wa Muzik
Kupewa mabikra huko peponiMagaidi wanapata faida gani?.
Yupo KinondoniMkuu uyo mtu yuko maeneo gani tumsaidie
Spea ni biashara yenye pesa sana muhimu ujue jinsi ya kuifanya... Kwanza location pili connection kuanzia kwa wenye magari, mafundi wa magari madogo na makubwa pia wenye gereji ukisha jiunganisha na hao watu na kufanya nao kazi utafaidi duka la spare...wauza spea za magarii
Nipe # zake tafadhali kama hutojali maana hali ya hewa hiiiYupo Kinondoni
Zimejaa hela za utakatishaji ujueUjenzi wa maghorofa makubwa ya biashara na ofisi,wanapataje faida...?
-Ujenzi una gharimu mabilioni.
-uendshaji wa Majengo unahitaji mamilioni
-Kodi zao zipo juu
-Majengo mengi hata nusu ya floor zote zipo wazi.
nmekupata sana mkuu🙌Spea ni biashara yenye pesa sana muhimu ujue jinsi ya kuifanya... Kwanza location pili connection kuanzia kwa wenye magari, mafundi wa magari madogo na makubwa pia wenye gereji ukisha jiunganisha na hao watu na kufanya nao kazi utafaidi duka la spare...
Pia unapoenda kuchukua mzigo fanya research maana maduka yanatofautiana bei halafu huko kwenye mizigo pendelea kununua sehemu moja maana siku hizi kila tajiri na mteja wake,,,, mkishakua vizuri na ukiwa na mzunguko mzuri ukienda kwa tajiri kununua mzigo eg wa ml 20 anakupa tena wa mil 20 unauzungusha na pesa unapata huku ukilipa ule ulioongezewa