Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?

Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?

Asee bro uko serious kweli? Biashara ya spare parts za vyombo vya moto inalipa balaa mtu anaweza kuwa na duka ambalo kimuonekano ni dogo lakini akaishi maisha mazuri sana
aah yaaNi naona wengi unakuta ana kiduka kidogo tu yaan afu anaishi vzr ndk huwaga najiuliza hiki kiduka mtu anapataje hela aisee mbna duka dogo afu ana hela nyng nashndwaga kuelewa sjui umenielewa hapo😂😂
 
Majengo ni mengi kuliko Idadi ya makampuni na watu binafsi wenye uwezo wa kulipia hizo square metres...
barabara ya A.Mwinyi na CocaCola Kuna Majengo mengi yalijengwa, na kukaa empty miaka kadhaa.
Hata Kivukoni kuna maghorofa yapo empty
Hiyo ni miaka ya kuanzia 2015 ndiyo majengo yakawa matupu but maghorofa bado yanajengwa barabara hizo hizo
 
aah yaaNi naona wengi unakuta ana kiduka kidogo tu yaan afu anaishi vzr ndk huwaga najiuliza hiki kiduka mtu anapataje hela aisee mbna duka dogo afu ana hela nyng nashndwaga kuelewa sjui umenielewa hapo😂😂
Spare 1 uliyonunua kwa 50k unaweza kuiuza hadi 100k huwa wanauza bei mara mbili ya bei waliyonunulia atakaekuuzia bei rahisi atakupiga 80k
 
JAMIIFORUMS
-mnalipa kodi
-mnalipa pango,maji,umeme
-mnanunua mitambo
-Mnalipa mishahara na viinua migongo.
-Mnanunua vifaa,mnafanya marekebisho
-Hamfanyi matangazo
-Mnalipia gharama za kesi mahakamani
-Mnalipia server,vibali.
Mr.Melo,mnatengenezaje faida.
Navyojua mie JF ni NGO (non profit organisation). It's not a company. Kwahiyo ikiwa ni NGO, inajiendesha kwa pesa za Donors. Ikishakuwa NGO, haitakiwi kujiendesha kama kampuni ya kujipatia faida. Ndio maana huoni hata matangazo humu wakati wana uwezo wa kuweka matangazo makubwa na kutengeneza pesa ya uhakika kabisa.

Sema JF ina jina kubwa, kwahiyo kupata Donors wa uhakika ni jambo la kawaida tu.

Kingine, NGOs hupata fedha za kujiendesha kupitia kuandika projects mbalimbali then zinakuwa funded.
 
Ujenzi wa maghorofa makubwa ya biashara na ofisi,wanapataje faida...?
-Ujenzi una gharimu mabilioni.
-uendshaji wa Majengo unahitaji mamilioni
-Kodi zao zipo juu
-Majengo mengi hata nusu ya floor zote zipo wazi.
Hizo floor za wazi ndo unakuta maswahaba kina adriz na Accumen Mo wamebadilisha vyumba vya kuswalia.
 
Back
Top Bottom