Doji MD
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 1,770
- 3,552
KAskaziniMikoa ya juu ndo ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KAskaziniMikoa ya juu ndo ipi?
Vyuma chakavuHabari
Naomba majibu.
Ni biashara gani inalipa sana ila watu hawajaishtukia?
SAna tena sana piaVyuma chakavu
unafanya io.. inshu!SAna tena sana pia
Ndugu hapa anafanya kaweka mzani nyumbani kwake anakisanya vyamtaani pia anaofis pande zingine anakusanya...unafanya io.. inshu!
UgangaHabari
Naomba majibu.
Ni biashara gani inalipa sana ila watu hawajaishtukia?
kwahyo unamuona melo mjanja sana kwako au sio..... acha mtu abonge vile inampendeza kaona uchawa unalipa na watu hawajastukia mchongo kaamua kuandika.....Kila jukwaa ni lazima muingize siasa? Jukwaa la siasa halitisho kufanyia siasa na humu mkaacha kwa ajili ya mambi serious? Nazani Melo pia hakuwa mjinga kuweka aina nyingi ya majukwa, shida wajinga sasa kama nyie kila sehemu ni siasa, mkisha kuwa mmeshiba Chai Vitumbua na mnamilika smart phone mnawaza ujinga tupu asubuhi hadi jioni.
Kila jukwaa ni lazima muingize siasa? Jukwaa la siasa halitisho kufanyia siasa na humu mkaacha kwa ajili ya mambi serious? Nazani Melo pia hakuwa mjinga kuweka aina nyingi ya majukwa, shida wajinga sasa kama nyie kila sehemu ni siasa, mkisha kuwa mmeshiba Chai Vitumbua na mnamilika smart phone mnawaza ujinga tupu asubuhi hadi jioni.
Uchawa ndio nini?Mkuu mbona upo serious sana? Maisha ya TANZANIA hayapo serious kihivyo. Kwani hakuna uchawa nje ya siasa?
naona uchawa kwenye biashara (dotto magari), mpira, burdani nk.
Uchawa ni njia ya kujipatia kipato kama njia nyingine zozote zile. Kama unabisha muulize Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable
Naona umeamua kujizima data ni sawa na mwalimu kuuliza chaki ni nini?Uchawa ndio nini?
Tukiwastua watashtuka.Habari
Naomba majibu.
Ni biashara gani inalipa sana ila watu hawajaishtukia?
Acha soung za ki-motivational speaker taja mchongo moja kwa moja.Kulipa ni matokeo, Wewe fanya kitu ambacho utatatua au uta solve changamoto fulani kwenye Jamii, uone uatakavyo pata pesa.
Ongeza na porno1:-Siasa(ccm)
2:-Kanisa
3:-Uganga
Kwa jinsi mbususu zilivyopanda bei kwa kweli wanaweza kuwa bilionea kupitia mtaji wa mbususuUkahaba. Mwanamke akijizima data na kuweka pembeni hofu ya kuonekana hana maadili akifanya hii biashara seriously inamtoa kimaisha.