Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Mnauziana bei gani siku hizi?Kwa jinsi mbususu zilivyopanda bei kwa kweli wanaweza kuwa bilionea kupitia mtaji wa mbususu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnauziana bei gani siku hizi?Kwa jinsi mbususu zilivyopanda bei kwa kweli wanaweza kuwa bilionea kupitia mtaji wa mbususu
Kanisa, ila ujigange kisawasawa.
Kuuza kinyeoHabari
Naomba majibu.
Ni biashara gani inalipa sana ila watu hawajaishtukia?
Zezeta ukiwa mmojawapo maana imejaa mazezetaNinavyo semaga nchi imejaaa mazezeta ni sababu kama hizi.
Mtego huuNaina watu mnaumiza Sana vichwa unaangalia mtaji unao hata 5M. Lakini uhakika Wa kupata faida 30,000 ya uhakika pasipo presha yeyote Hauna.
Kuna project ambayo inakuwezesha kupata faida ya 400% ya ulichowekeza kwa MDA Wa miezi 12. Let's say umewekeza 5M maana yake baada ya mwaka mmj unakuwa na 20M. Ambayo security yake na uhakika ni 100%. Kama utaitaji kufahamu zaidi unaweza kunicheki kwa namba 0746785704,0628354523. Nipo Dar. Ofisi za huo mradi zipo Dar pia. Karibu.
Kwel mkuu kabisaSiri IPO bidhaa zinapotoka... jifunze kuvuka mipaka ya nchi yetu...utakuja kunishukuru...!
Hapo Zambia tu hapo Kuna madeal mengu ukiyachukua ukayaleta TanzaniA ni pesa tu
😀 😀 Duuh hii bana si kweli kibongo bongo, wanaotoboa huko wachache sana. Sijui lakini kutoa kimaisha kwa wewe unavyomaanisha.Ukahaba. Mwanamke akijizima data na kuweka pembeni hofu ya kuonekana hana maadili akifanya hii biashara seriously inamtoa kimaisha.
Weka hata ka list kafupi mkuu ka hizo bidhaa...Siri IPO bidhaa zinapotoka... jifunze kuvuka mipaka ya nchi yetu...utakuja kunishukuru...!
Hapo Zambia tu hapo Kuna madeal mengu ukiyachukua ukayaleta TanzaniA ni pesa tu