- Thread starter
- #21
poa mkuu, ntakucheki tuyajengeMil.30 ni hela nzuri ya kuanzia kufanya biashara...njoo kariakoo nikupe mchongo hutojutia kabsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa mkuu, ntakucheki tuyajengeMil.30 ni hela nzuri ya kuanzia kufanya biashara...njoo kariakoo nikupe mchongo hutojutia kabsa
Harufu yakupigwa mtupoa mkuu, ntakucheki tuyajenge
Usiingie kkoo na 30m kipindi hiki. Bora ukauze misumari na nondo geita hukopoa mkuu, ntakucheki tuyajenge
Unaweza ukafafanua kidogo hiyo remoteness mkuu?Mtaji huu upeleke remoteness. Peleka bidhaa huko! Kariakoo hiyo hela ya maji tu... Huwez kufika kokote unless ukodi ukuta kama machinga.
Jikite na remoteness tu
Nunua daladala kubwa weka route ya Mbezi...Mpigi magohe au Mbezi...Msumi.Habari wana jf,
Naomba mwenye business idea ambayo nikiwekeza 30m naweza pata faida ya atleast 5m per month.
na ajipange na uchawi piaMkuu tafuta wilaya yoyote Tanzania ambayo haijachangamka Wala supply kuwa wengi...nenda azam pakia fullload ya juice mixer energy,malt,ember,ukwaju nakuhakikisha hiyo m5 unaipata oneza hapo ifike m38 maana ndio coast ya semi Zima tan28
Elezea vizuri brother Mshana.Waste mbalimbali mafuta ya magari
Baharesa huwa ananunua maembe pale mwandege. Kuna bro wangu anayakusanya huko lindi mpaka pwani kwenye gari anaenda kuuza pale. Ukishauza tu kwa mtaji wa million 3 unapata million Moja juu hapo hapo.Unaweza ukafafanua kidogo hiyo remoteness mkuu?
shukran.Baharesa huwa ananunua maembe pale mwandege. Kuna bro wangu anayakusanya huko lindi mpaka pwani kwenye gari anaenda kuuza pale. Ukishauza tu kwa mtaji wa million 3 unapata million Moja juu hapo hapo.
Maeneo ya vijiji hata ukifungua duka kubwa unakula pesa sana mana nauza huwa makubwa. Fursa vijijini zipo sana za kupata hela. Hata shibyabga Kuna maeneo yanaitwa Nindo! Huko wanahitaji bidhaa hasahasa vya matumizi. Wembe, juisi, keki keki hizi .. ubaya wa hayo maeneo ni mbali mnoo! Ndichi huko
Juisi za matunda zote za baharesa huwa ananunua matunda yake kwa wafanyabisahara. Hata zile za mananasi, hayo maukwaju na mengine mengine. Muhimu ni kufatilia kwa undani wewe mwenyewe humo viwandani.shukran.
Kuna vituo vya mafuta lakini havina mitaji hivyo ukiwa na mobile fuel truck unaenda depo unanunua jumla kisha unaenda ku supply kwa mali kauli.. Faida yako ni Tsh 100 kwa lita..How?
Huu ndo uhalisia labda aitupe kwenye kununua nafaka na hapo akauze kwa jumla mashineni sio Rahisi kupata faida ya 30m kutoka million 5 hata Mimi ingekuwa nanesa vibaya mnoBiashara kwenye makaratasi faida ya mill 5 inapatikana ila kiuhalisia net profit halisi kwa mtaji huo ni mill 3 kwa biashara za kuuza jumla hapo umetoa kila kitu tra,wafanyakazi ,Kodi ya pango ,na loss kitu kisichokwepeka kwenye biashara mill 3 unaipata
Kuna vituo vya mafuta lakini havina mitaji hivyo ukiwa na mobile fuel truck unaenda depo unanunua jumla kisha unaenda ku supply kwa mali kauli.. Faida yako ni Tsh 100 kwa lita..How?
Unajua Matajiri woote Dunani walitatua shida za watu, kwa hiyo na wewe unaweza kutoka kwa kutatua shida za watu. Mfano watu wana njaa unawauzia chakula, watu wanatembea uchi unawauzia mavazi,watu wanashida ya mbolea unawauzia hitaji lao.Habari wana jf,
Naomba mwenye business idea ambayo nikiwekeza 30m naweza pata faida ya atleast 5m per month.