Big dady 11
Senior Member
- May 21, 2023
- 109
- 128
Wekeza kwny video production.
Kuna pesa sana..
Nunua vifaa vyote vya production na camera za 4k.
Unakuwa unashoot events(harus n.k) unafanya music videos(bongofreva na kwaya)
Ukiwa na team creative nnaandàa adi movie na tamthilia.. utakula sana pesa za Azam tv na DStv..
ONYO.. uwekezaj huu haulipi gafla bin vuu..
Inahitaji muda miez 3 ad 4 kuanza kuona faida ya uwekezaj wako..
Na faida ni Zaid ya m5 kwa mwez
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kuna pesa sana..
Nunua vifaa vyote vya production na camera za 4k.
Unakuwa unashoot events(harus n.k) unafanya music videos(bongofreva na kwaya)
Ukiwa na team creative nnaandàa adi movie na tamthilia.. utakula sana pesa za Azam tv na DStv..
ONYO.. uwekezaj huu haulipi gafla bin vuu..
Inahitaji muda miez 3 ad 4 kuanza kuona faida ya uwekezaj wako..
Na faida ni Zaid ya m5 kwa mwez
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]