Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Tatizo watu wanakubaliana bila kusainishiana mkataba. Andika mkataba wenye kipengele cha: ikitokea boda imeibiwa yeye atawajibika kuilipa na kama akiwa ameibiwa kweli(kuporwa) aruhusu uchunguzi wa polisi na ikibainika kweli afidie nusu ama robo ya gharama ya boda iliyoibwa. Mikataba mambo yote akikuruka unakuwa nao mkataba wa kwenda kumshughulikia kisheria.
Hahahahaha!Dogo habari za siku, naona siku hizi umeelimika unapita kwenye nyuzi kama hizi hongera sana. Nitakutafuta nimeona una kitu cha ziada nimekuona kwenye nyuzi mbalimbali japo huwa si changii maana mm huwa ni mpenzi wa kusoma na kuondoka. Kwahiyo yule pimbi mwenzako yuko wapi siku hiz
Samaki wa aina gani?Biashara ya Samaki wabichi kuna jamaa mmoja anakutumia Dar ndoo ya Lts 20 kwa 170,000/= (Transport included) ndoo ndogo Lts 10 140,000/= wakiwa wakubwa ndoo kubwa pics 25 saizi ya kati 35
Hii ni forum kamanda!Website nzuri jamani!!!
Hii ni forum kamanda!
Sababu ni nni mkuu??...manake hata mi nashangaa hali imebadilikaUsilogwe...masoko sio mazuri kbs kwa miaka hii...usilime tikiti..
Demand and supply...!yameshazoeleka...mm nikienda sokoni tikiti sitak hata kulinunua/!watu wengi wanayalima bei nayo inazidi kudorora ...!na hao madalali ndo kbs!Sababu ni nni mkuu??...manake hata mi nashangaa hali imebadilika
Namuelewesha tu,Hahahahahaaa, unajikuta ww ndio unajua sana.
Najiuliza sijui nilime nni angalau kisicho na supply kubwa manake tikiti kwa sasa hazina cha msimu kila Mara mizigo inashuka tu sokoniDemand and supply...!yameshazoeleka...mm nikienda sokoni tikiti sitak hata kulinunua/!watu wengi wanayalima bei nayo inazidi kudorora ...!na hao madalali ndo kbs!
Kilimo pasua kichwa sana. Kuna jamaa yangu kajaa seminar za speakers kaenda Kulima papai. Sasa hivi mpole.Najiuliza sijui nilime nni angalau kisicho na supply kubwa manake tikiti kwa sasa hazina cha msimu kila Mara mizigo inashuka tu sokoni
Najiuliza sijui nilime nni angalau kisicho na supply kubwa manake tikiti kwa sasa hazina cha msimu kila Mara mizigo inashuka tu sokoni
Kilimo pasua kichwa sana. Kuna jamaa yangu kajaa seminar za speakers kaenda Kulima papai. Sasa hivi mpole.
Changamoto shambani, changamoto sokoni tabu tupu.
Biashara biashara..chamoto haswa[emoji28][emoji28]bora huyo..kuna mmoja aliingia king akayalima haswa...!akasema atawakusanya wakina mama awape kila mama papai 100!sijui wamletee hela kila mtu 70000!huzo hesabu alikia ananipigia mm[emoji28]!kufupisha stry aliishia kuwa anayaleta kazini watu wanachukua 1 au 2...yakamdodea ....mengine yalianguka na upepo !wal wamama wakamtosa...wakachukua kila mtu 10 tu...!
Biashara biashara..chamoto haswa
Tatizo letu kubwa hua hatui na taarifa sahihi tunapofanya maamuzi hasa ya kwenye kilimo , hapo tu...ukiwa na elimu sahihi na taarifa sahihi, tayari uko nusu ya safari, hata maamuz utakayofanya hayawi sawa na kubeti, una uhakika % fulani, umeacha unajua n kwann umeacha, ama ukiingia shamba unakua unajua fika na uko aware na unachoenda fanya
Wapi hii mkuuUza juice...mimi nilianza na mtaji wa elfu kumi
Nikitoa korokoro za cost faida buku 20
Nipe michongo ya Mwanza mkuuKuna swali wakuu wamekuuliza ungejibia hilo swali tungepata kukupa michongo kulingana na ulipo. Swali lenyewe umeulizwa uko wapi i mean mkoa gani na mji gani? Tuambie tukuonyeshe fursa za ulipo.
Hapo unakua hujafanya utafiti mkuu, unatakiwa ujue policy zetu ni unpredictable mno , at anytime zinabadilika...so kabla hujaenda huko ujue hiloMkuu soko letu la kilimo halina utafiti, linabadilika dakika moja. Hebu toa mfano halisi wa kufanya utafiti wa soko then ndio uuze. Labda kuna sehemu tunafeli.
Mfano
Unafanya utafiti wa Tangawizi unakuta bei nzuri Nairobi, Unalima mara Serekali imekataza kuuza Kenya. Hasara
Jitoe ufahamu tu mkuu[emoji28][emoji28]Kuna mtu anapika hiyo makitu kituo cha daladala baridi mnazi mmoja huwa naona asubuhi watu wanavyochangamkia hiyo makitu
Huwa natamani nile ila kwa P yangu sitakiwi kukutwa hapo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]