Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

Hiyo laki 2 nunua vimini njoo dodoma anza kuuza mbunye utapata zaidi ya elf 10 per day.
NB:ILA UWE UNA MVUTO.
 
Huo mtaji utahusisha pia sehemu ya malazi na chakula? Ama una ndugu mikoa yote ya Tanzania?
 
Halafu ndiyo nakula hizo Viewers au!
 
S
Mikoani si kuna nyumba za kupanga jamani au.
Lakimbili ni mtaji tu.
Hela ya kula iko pembeni.
kumbe umejipanga, kuna mdau kasema uende karume uchukue viatu vya mtumba vya wadada kwa elf50 tu

Pia kuna jamaa yangu ye anauza mitandio ya wadada na baadhi ya nguo kwa buku mbili tu, ye anadai mtaji wake ni elf20 na anapata faida elf 50 hadi 70 kwa week, maana yake kila vikiisha anaenda kuchukua mzigo wa elf 20 kisha anatembeza mitaani, huyu nafanya nae kazi maana kuna mingine huwa anatuletea kazini tunanunulia wake zetu
Mzigo anachukulia tandika pale anasema ili upate bidhaa nzuri unapaswa kuwahi saa kumi na mbili kuna duka analochukulia mzigo naweza kukupatia mawasiliano yake akakupa mwongozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…