Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

Hapo ndio kwenye tatizo mpenz
 
Join my fx team the earning is 5 day per week, minimum earn is 15usd maximum 25usd
Ada ya kujiunga au camishen uchaguzi in wako
 
Nimegundua wewe jamaa ni takataka.

Endelea kuishi hapo kwa dada yako.

Zimbabwe uchumi umekufa lakini biashara zinaendelea seuse Tanzania ambao bado hatujafika kiwango cha Zimbabwe.
 
Nakuapia hutafanikiwa kwa jina la Mwenyezi Mungu kama lengo lako ndio hilo.Tena utaipata kweli kweli hasira ya Mungu
Eti nakuapia hahahahahahahahahahah sawa mungu mtoto
 
Nimegundua wewe jamaa ni takataka.

Endelea kuishi hapo kwa dada yako.

Zimbabwe uchumi umekufa lakini biashara zinaendelea seuse Tanzania ambao bado hatujafika kiwango cha Zimbabwe.
Basi mwonee huruma mama yako... maana enzi za ujana wetu ndo alikuwa girlfiend wangu...

Girlfriend wa takataka huzaa takataka...

Na kama unadhani naishi kwa dada yangu, muulize mama yako akupe historia yangu...

Nyang'au wahed... usihangaike kunijibu kwakuwa sitaiona post yako. Nimeweka kwenye ignore list kwa kuwa siwezi bishana na vikojozi
 
Kweli, kuna jamaa nimekutana ilala mpaka amejenga chanika yeye anauza nguo za kiume kwa kutembeza na sio yeye aliye niambia kajenga ila, kuna rafiki yangu ndie aliye niambia maana alikuja kwenye duka lake la huyo rafik yangu akanidokea jirani yangu huyo chanika
 
Mkuu naomba nielekeze procedures za kufungua hii kitu!hivi huwa inagharama kuanzisha?na malipo yake wanalipaje yaani kuanzia viewers wangapi ndio wanakulipa pesa?
Naomba uingie google, wana special page ya kuelezea kwa kina
 
Anyway, Nakupuuza.

Naheshimu uzi wa watu.
 
Samahani mzee baba kuna vikojozi wa aina 2 hapo..dadavua
 
Hizo Cocein Pure nazinunua wapi?
Hebu fafanua zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…