Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Biashara sio kazi ya kila mtu, na kila biashara ina njia zake na wengi wanaolazimisha kufanya biashara huishia kupoteza pesa maana sio passion yao, na hakuna mfanyabiashara atakupatia Siri za biashara wala mafanikio atakutajia vitu vya juu juu kuondoa lawama
 
Biashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.

Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.

Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.

Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, right and left.

Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
 
Biashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.
Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.

Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.
Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, tight and left.

Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Asante kwa ushauri, tupo pamoja ndugu🥳
 
Back
Top Bottom