Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Biashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.
Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.

Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.
Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, tight and left.

Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Watu wengi hufanya biashara za uchuuzi kutoboa ni kazi, lakini ukiweza kua NI mzalishaji mkubwa wa bidhaa fulani na ikahitajika umetoboa , wengi hufikiri achukue mahindi point A akauze point B akili huishia hapo
 
Watu wengi hufanya biashara za uchuuzi kutoboa ni kazi, lakini ukiweza kua NI mzalishaji mkubwa wa bidhaa fulani na ikahitajika umetoboa , wengi hufikiri achukue mahindi point A akauze point B akili huishia hapo
Mleta mada anatafuta mawazo, mpe insight yako kuhusu afanyeje awe billioneir.

Wahindi wengi wametajirika kwa kufanya biashara na serikali moja kwa moja, mfano, kununua magari, kuagiza vipuri kwa niaba ya serikali, kujenga matanki ya maji au miradi inayotangazwa na serikali kwa njia ya tender.
 
Ili uwe millionaire au billionaire it takes years and years ila ukitaka kulala na kuamka fanya mishe za kutake risk, usiwe na moyo mdogo.
-Black market.
-(Human trafficking)Kusafirsha wasomali.
-Betting odd moja weka 50m
-Forex

Lakini hivyo vyote hapo juu bila kuwa safi kiroho ni kazi bure utapuyanga hadi ukome. Kila siku kesi wewe, hasara wewe n.k
 
Back
Top Bottom