Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Unabii au kuuza sembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mil 10 hii nitaifanya?? Au niongeze hela 😂😂😂Movie Library
Watu wengi hufanya biashara za uchuuzi kutoboa ni kazi, lakini ukiweza kua NI mzalishaji mkubwa wa bidhaa fulani na ikahitajika umetoboa , wengi hufikiri achukue mahindi point A akauze point B akili huishia hapoBiashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.
Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.
Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.
Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, tight and left.
Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Hapa huwezi kupata jibu.Habari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏
😄😄😄😄😄 Daaah sasa nikuambie kitu..Mil 10 hii nitaifanya?? Au niongeze hela 😂😂😂
Mleta mada anatafuta mawazo, mpe insight yako kuhusu afanyeje awe billioneir.Watu wengi hufanya biashara za uchuuzi kutoboa ni kazi, lakini ukiweza kua NI mzalishaji mkubwa wa bidhaa fulani na ikahitajika umetoboa , wengi hufikiri achukue mahindi point A akauze point B akili huishia hapo
Ni ngumu kufanya biashara ya halali na uwe bilionea,,,labda uianze ujanani na uwe bilionea uzeeni.Habari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏
Ndo nataka na mie nianze, nna mil 10 mtaji utatosha? Au pesa ndogo sana hii niongeze 😁😄😄😄😄😄 Daaah sasa nikuambie kitu..
Mimi nina library zaidi ya tano mjini hapa nasema kwa experience madam ...
Una shi ngap kw sasa
Mil 10 ndogo maana nisije kukupa moyo hapa badae ukaja nilaumu bure..Ndo nataka na mie nianza, nna mil 10 mtaji utatosha? Au pesa ndogo sana hii niongeze 😁
Basi hii ngoja tu niinywe 😁Mil 10 ndogo maana nisije kukupa moyo hapa badae ukaja nilaumu bure..
Tafuta tafute tena upate kama 15 ili uongezee iwe 25 alafu ndo ukuje hapa madam
😄😄😄😄🙌🙌🙌🙌 Kunywa tuuu kufanya biashara aaahBasi hii ngoja tu niinywe 😁
Acha kumdanganya hakuna tajiri wa madini TanzaniaBiashara pekee Tanzania inaweza kukufanya Bilionea ni "Madini",narudia tena ni Madini pekee.Ila Capital yake na risk zake sio mchezo.
Akili zako sasa😂😂Basi hii ngoja tu niinywe 😁
Humu hakuna billionaire ata mmoja ko utalishwa matango pori tu! ok mi nakushauri Anza na kuuza mandazi kama bakhresa utakuja kunishukuru!?Habari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏
🤣🤣🤣Ukijiwekeza kwenye biashara ya masuala ya kiroho(uchungaji) nadhani itakua biashara nzuri ya kukufanya uwe milionea.
Movie Library