Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Deal Za uvuvi ziwani huko utapiga hela sana mwaka ukiwa mzuri, na serikali haikani sana huko
 
Biashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.

Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.

Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.

Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, right and left.

Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Kuna Don mmoja ana mkwanja sio poa. Biashara zake ni hizo, ana godown 8 hapa town
 
Kuna Don mmoja ana mkwanja sio poa. Biashara zake ni hizo, ana godown 8 hapa town
Tender za Serikali kuzipata shida, lakini ukizipata si haba. Tafuta hata ya kulisha wanafunzi vyuoni, tutakujua tu mjini hapa, pesa ndio inajenga Sir names mjini humu.
 
Back
Top Bottom