Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

La mhimu kwanza ni we mwenyewe sikiliza moyo wako,ni kipi au lipi unapenda kulifanya toka moyoni??,unalipenda kwa dhati bila chembe ya unafiki?,jiulize ukilifanya unapata furaha na kuridhika?,basi hilo ndo lakufanya na uhakika wakutoboa ni asilimia kubwa,usipende kutazamia kwa wengine,,unakitamani kwa mwenzio si chako,ukikifata waweza juta.
 
Moja kati ya siri kuu za dunia ni siri za jinsi ya kuufikia utajiri, kila mmoja ana maelezo yake ambayo yana kinzana na mwingine na ambayo akili ya kawaida inakataa kuwezekana kwayo.

Kuna dhana pia za kiimani, na zenyewe zina maelezo yanayotia shaka kama yalizingatiwa yanaweza kukupeleka kwenye utajiri.

Mfano , mtu mmoja kwenye Biblia alikua akifanya kazi ya kulishia mifungo kwa tajiri wake, siku ya malipo yule tajiri alimwambia malipo yako yatakuwa katika kundi la mifungo wanyama wenye alama za mistari kwenye Ngozi zao watakuwa wako .
Katika kundi nzima kulikua na wanyama wa aina hio wachache sana.

Alicho fanya huyo mfanyakazi alichukuia fimbo kutoka kwenye mti fulani na kuichomeka kwenye mto wa maji na kusema kila mnyama atakaye kunywa maji hapa azae mtoto mwenye alama ya mistari.

Baada ya muda kidogo yule mfanyakazi alitoka na kundi la mifungo mara tatu ya yule boss wake, utajiri wake ulidumu vizazi vingi.

Labda tunaweza kuuza hata maandazi lakini tukatumia concept hio ya kiimani inawezeka hata Bakhressa akapitwa.
 
Mpangilio aliokupa 26 Life upo vizuri. Hayo yote ya chini na mengineyo utapambana na TRA, TFDA,OSHA, LATRA,SUMATRA, N.K
Kwenye kilimo serikali za kiafrika bado mfumo wa kodi katika ngazi ya kijiji ni duni au hauko. wanafuatilia pareto kahawa,ufuta,korosho, pamba.
Yaani mkulima anaweza kuuza zao lake cash shambani hata 2m au 10m cash na kuendelea hakuna TRA,au hao wengineo niloowataja hapo.

We fikiria una ekari 10 za papai, ekari moja miche 600 - 800 kutokana na upandaji. Kila mchumo mti mmoja u unachuma 3 Shamba kule weka tu @ 500/= . Sasa kuwa milionea hapo ni miaka 2 tu kuwa bill sasa ili usichukue muda mrefu yaani miaka mingi ongeza ekari au lima kitu kingine ambacho kina soko lakini unachuma muda mrefu kama pesheni au makakara unakuwa Bill chini ya miaka 5. Na zote cash mfukoni pale pale shamba hskuna cha TRA

Tatizo kilimo kiwe cha umwagiliaji. Yaani kiangazi una maji masika mvua kama kawa.
 
Mpangilio aliokupa 26 Life upo vizuri. Hayo yote ya chini na mengineyo utapambana na TRA, TFDA,OSHA, LATRA,SUMATRA, N.K
Kwenye kilimo serikali za kiafrika bado mfumo wa kodi katika ngazi ya kijiji ni duni au hauko. wanafuatilia pareto kahawa,ufuta,korosho, pamba.
Yaani mkulima anaweza kuuza zao lake cash shambani hata 2m au 10m cash na kuendelea hakuna TRA,au hao wengineo niloowataja hapo.

We fikiria una ekari 10 za papai, ekari moja miche 600 - 800 kutokana na upandaji. Kila mchumo mti mmoja u unachuma 3 Shamba kule weka tu @ 500/= . Sasa kuwa milionea hapo ni miaka 2 tu kuwa bill sasa ili usichukue muda mrefu yaani miaka mingi ongeza ekari au lima kitu kingine ambacho kina soko lakini unachuma muda mrefu kama pesheni au makakara unakuwa Bill chini ya miaka 5. Na zote cash mfukoni pale pale shamba hskuna cha TRA

Tatizo kilimo kiwe cha umwagiliaji. Yaani kiangazi una maji masika mvua kama kawa.
Samahani mkuu je umeufuata huu ushauri wako? Na we ni milionea?
 
Samahani mkuu je umeufuata huu ushauri wako? Na we ni milionea?
Nilitegemea swali hilo. Milioni nihela inayopatikana na wakulima na raia wengi tu mbona. Millioni hata pikipiki TVS ni 2m watu wanazo kibao !!

Mimi milioni nilishakamata mkuu nilipostaafu, nilipata karibu m80, ila mi sikungoja 60 nilijitoa mapema. Wengi wanapata mamilioni wanapostaafu wanarudi o na madeni kibao.

Nimeweka hapo utaratibu ambao nimeona jirani zangu wakulima wanapiga hela, Huu ni mpangio hasa wangu nimeufanyia marekebisho kiutendaji utaratibu wa kutengeneza hela safi bila kupiga chenga chenga ili iwe inatunza kizazi changu. Uko stage fulani.

Nina uhakika wa kupata hizo hela mililioni ni hela ndogo angalau tunuse 500m na zaidi (jirani zangu milioni wanapata kirahisi)

Sababu nina ekari karibia 30 haziko pamoja na nina kisima,Simtanks na mpangilio wa umwagiliaji wa matone ( Hapo ndio penye gharama ) Sio mbali na Dar. Kitu sikueleza hapo shughuli ya kilimo bora iwe jirani na soko. Na mimi masoko ninayo yanasubiri mzigo.
 
kununua machozi ya samaki,kuwa mwanasiasa fisadi na kuwa muuza madawa ya kulevya,umilionea unaanza na sh ngapi?
 
Back
Top Bottom