Ni bidhaa gani unazoweza kuziuza ×1,000 kwa siku moja?

Ni bidhaa gani unazoweza kuziuza ×1,000 kwa siku moja?

Swali kwako mtoa mada...

Una uwezo wa kutengeneza bidhaa 1000 kwa siku?

Na ni bidhaa ganii.tuanzie hapo.

Maana kama mtaji wako ni 2m...gawanya kwa 1000
Unapata 2000..

Hakikisha hyo elfu mbili itacover
Production cost
Supply (transport,wachuuzi, etc)
Vifungashio etc
Marketing(ili wateja waijue bidhaa lazima waifaham)

Upate hao wateja 1000 kwa siku uhakikishe kila m1 ananunua bidhaa..hapa ndo kaz ilipo...ingawa ukitengeneza strategy au plan ,u can at some point.

Ila lazima hko kitu kiwe na demand kwelkwel

Wenye viwanda vya maji.juice etc ndo wanacheza ma namba hzo.sabab kila binadamu lazima ushikwe kiu..ndomana unaona product za vimiminika zimejaa..ndo kina mo na bakheresa wanacheza huko
 
Nimebaki nacheka tu.
Ulipitia kwa wale wahamasishaji wa ujasiliamali
 
Swali kwako mtoa mada...

Una uwezo wa kutengeneza bidhaa 1000 kwa siku?

Na ni bidhaa ganii.tuanzie hapo.

Maana kama mtaji wako ni 2m...gawanya kwa 1000
Unapata 2000..

Hakikisha hyo elfu mbili itacover
Production cost
Supply (transport,wachuuzi, etc)
Vifungashio etc
Marketing(ili wateja waijue bidhaa lazima waifaham)

Upate hao wateja 1000 kwa siku uhakikishe kila m1 ananunua bidhaa..hapa ndo kaz ilipo...ingawa ukitengeneza strategy au plan ,u can at some point.

Ila lazima hko kitu kiwe na demand kwelkwel

Wenye viwanda vya maji.juice etc ndo wanacheza ma namba hzo.sabab kila binadamu lazima ushikwe kiu..ndomana unaona product za vimiminika zimejaa..ndo kina mo na bakheresa wanacheza huko
Wakina mo na bakhresa wanaweza kwa sababu wameajiri watu wengi wa masoko,wana magari ya kusambaza bidhaa zao.
 
Wakina mo na bakhresa wanaweza kwa sababu wameajiri watu wengi wa masoko,wana magari ya kusambaza bidhaa zao.
Ndio maana nilisema anahitaji Kwanza hao watu 1000 waliokaa pamoja then ndio atafute cha kuwauzia.

Njia rahisi ajigawe ×4 kwenye kila sehemu za watu 1000.

Target iwe kupata watu 250 kila sehemu moja katika magoli manne.

UDSM~watu 250
DUCE~Watu 250
TIA~Watu 250
Kariakoo~Watu 250

Kwa bidhaa za kula kidogo anaweza Mungu akamuonea huruma japo.

NB: Hizi theory mambo kwa Ground tofauti
 
Shule 5 za msingi, ajiri vijana watano, lama lamab za za shng mia, kila kijana muwekee malengo ya ice cream 200 kwa siku . Hapo faster
 
Habari wanabodi.

Ni bidhaa aina gani unazoweza kuziuza mara 1000 kwa siku? garama ya hizo bidhaa isizidi 2,000 kushuka chini.

Karibuni kwa michango yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha acha hizo hesabu za abunuasi, biashara haipo hivyo. Hakuna kutajirika kwa haraka kama unavyofikiria. Pili the higher the risk the greater the return. Sasa wewe una tuMillion 2 unataka utengeneza pesa sawa na Mtu aliyeweka Million 800 kwenye biashara..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usijidanganye
 
Haha acha hizo hesabu za abunuasi, biashara haipo hivyo. Hakuna kutajirika kwa haraka kama unavyofikiria. Pili the higher the risk the greater the return. Sasa wewe una tuMillion 2 unataka utengeneza pesa sawa na Mtu aliyeweka Million 800 kwenye biashara..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usijidanganye
Hesabu zinapangika vizuri tu mkuu.
 
Back
Top Bottom