Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ooh sawa, nimeshawahi kuzionaNi Sabuni za unga zinauzwa buku. Tangazo lake huwa yupo Vanessa Mdee. Zimeenea kila kona kwa hapa Dsm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh sawa, nimeshawahi kuzionaNi Sabuni za unga zinauzwa buku. Tangazo lake huwa yupo Vanessa Mdee. Zimeenea kila kona kwa hapa Dsm.
Sabuni ya unga bukudoffi ni kitu gani?
OkaySabuni ya unga buku
😂😂😂 wewe jamaa unanifurahishaga sanaNgoja waje kukupa muongozo...
Una mtaji ila haujajua bidhaa gani uiweke?hili swali kila siku ya mungu hua najiuliza,
kila siku nkipita ferry naona watu zaidi ya milioni moja bado nawaza ni kitu gan ambacho hakipo ila nkikileta kila mtu atakipata kwa bei ya kawaida sana na hatojuta kutoa hiyo pesa kukipata kiasi atageuza routine kukipata!.. angalau watu 1000 tu wakinunue!.. au watu 500 wanunue wastani wa viwili, kwa bei ya mtanzania!..
najaribu kutumia philosophy (by asking what,how,which,n.k .
Asanteni!
mtaji unapatikana, una wazo la bidhaa?Una mtaji ila haujajua bidhaa gani uiweke?